MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Issue inahusisha watu wa tathmini pamoja na loan officers.Kwahiyo unataka kusema kuwa banki bado hawajalifahamu hili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue inahusisha watu wa tathmini pamoja na loan officers.Kwahiyo unataka kusema kuwa banki bado hawajalifahamu hili??
Hapo sasa umenena maana mtathmini anaweza kua kikwazo ama anayeidhinisha mkopo.Issue inahusisha watu wa tathmini pamoja na loan officers.
Leo asubuhi nikiwa nazurura zurura mtaani kama kawaida yangu.
Nimekutana na gari la matangazo ya mnada wa hadhara likitangaza uwepo wa mnada kwa mali za watu walioshindwa kufanya marejesho ya fedha walizochukua toka taasisi za kifedha kama mikopo.
Mali zinazouzwa ni majumba na magari.
Jambo hili liliniweka kwenye tafakuri ya kina kuhusiana na nini hasa kimewakuta wahanga wa huu mnada.
1. Je, ni riba kubwa??
2. Kutokuwa na mipango ya kueleweka?
3. Matumizi mabaya ya fedha (kutumia fedha nje ya malengo).
4. Kuharibika kwa biashara kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa mkopaji.
5. Hali ya uchumi.??
Nikikumbuka hilo gari la mnada, nimeziogopa taasisi za kifedha.
Tusaidiane namna ya kukwepa aibu kama hizi kama mtu akichukua mkopo pale itapobidi.
Yani hujui sababu? Ukirudi pale lumumba kamuulize magufuli.Wanaofanikiwa kulipa madeni ni wachache Sana sijui tatizo nini.
Ni kweli mkuu, niliwahi sikia kuwa bwana mmoja alikopa akanunua coaster akapiga mishe fasta akajenga na akachana na marejeshoSio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.
Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Kuna mtu alikopea nyumba zake zote lkn hakua na nia ya kulipa huo, akachukua hizo hela akajenga ukumbi matata sana na zingine akawekeza kwenye miradi mingine, akawachia bank wskahangahika kupiga mnada hizo nyumba huku yeye anaendelea na maisha mapya. Mwisho wa siku ana miradi na hadaiwi na bank japokua nyumba zimeenda.Sio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.
Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Sijaelewa hapa... kwamba ndo biashara zao wenye madeni (wadaiwa) au wadeni (wadai)Sio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.
Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Ndicho namaanishaKuna mtu alikopea nyumba zake zote lkn hakua na nia ya kulipa huo, akachukua hizo hela akajenga ukumbi matata sana na zingine akawekeza kwenye miradi mingine, akawachia bank wskahangahika kupiga mnada hizo nyumba huku yeye anaendelea na maisha mapya. Mwisho wa siku ana miradi na hadaiwi na bank japokua nyumba zimeenda.
Hahahaha mjini kila kitu ni frusa ki ukwel Leo ndio nimepewa mwanga nilikua sijui chochoteHapo sasa umenena maana mtathmini anaweza kua kikwazo ama anayeidhinisha mkopo.
Basi ni biashara kubwa Sana.
Nimekaa nasikitika hapa kumbe ni biashara za watu.
Mjini mipango.
Reference ;Tai five MwanzaSometimes wakopaji wanafanya michongo na watu wa tathmini.
Labda nyumba ya 30M yeye anakukadiria ina thamani ya 60M. Hivyo ukikopa hiyo 60M lengo linakuwa siyo kurejesha bali ndio imetoka hiyo, wao watauza hiyo nyumba.
Na kuna watu kila wakijaribu kuuza nyumba zao wanakwama, wanaamua kuzichukulia mikopo
Benki wanauziwa dhamana kwa lazimaFafanua kwa faida ya wengi mkuu sijakuelewa kabisa.
Kukopa kunakuwaje biashara??