Nimekutana na gari la matangazo ya mnada nimeogopa mikopo toka taasisi za fedha

Lazima wanafahamu, hakuna jipya chini ya jua

Ila kuzidi kujulikana zaidi ndio tatizo
Na pia inawezekana isiwe biashara ya upande mmoja.

Kwa maana kwamba baadhi ya maafisa wasio waaminifu nao wanashiriki.
 
Issue inahusisha watu wa tathmini pamoja na loan officers.
Hapo sasa umenena maana mtathmini anaweza kua kikwazo ama anayeidhinisha mkopo.

Basi ni biashara kubwa Sana.

Nimekaa nasikitika hapa kumbe ni biashara za watu.

Mjini mipango.
 
Jibu ni moja tu uchumi wa JIWE au uchumi wa kati.
 
Sio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.


Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Ni kweli mkuu, niliwahi sikia kuwa bwana mmoja alikopa akanunua coaster akapiga mishe fasta akajenga na akachana na marejesho
 
Sio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.


Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Kuna mtu alikopea nyumba zake zote lkn hakua na nia ya kulipa huo, akachukua hizo hela akajenga ukumbi matata sana na zingine akawekeza kwenye miradi mingine, akawachia bank wskahangahika kupiga mnada hizo nyumba huku yeye anaendelea na maisha mapya. Mwisho wa siku ana miradi na hadaiwi na bank japokua nyumba zimeenda.
 
Sio kila anaeshindwa kulipa mkopo bank ana Hali ngumu wengine ndio biashara zao hizo.


Nasema hivi " Hizo ndio biashara za watu wengine" mjini hapa.
Sijaelewa hapa... kwamba ndo biashara zao wenye madeni (wadaiwa) au wadeni (wadai)
 
Ndicho namaanisha
 
Hapo sasa umenena maana mtathmini anaweza kua kikwazo ama anayeidhinisha mkopo.

Basi ni biashara kubwa Sana.

Nimekaa nasikitika hapa kumbe ni biashara za watu.

Mjini mipango.
Hahahaha mjini kila kitu ni frusa ki ukwel Leo ndio nimepewa mwanga nilikua sijui chochote
 
Reference ;Tai five Mwanza
 
Mwingne anajenga nyumba kwa 50M labda alaf anaenda kuvuta mkopo wa 80M na anajidai kashindwa kulipa hiyo ni biashara kwa wengine na kwa wengine ni matatizo kweli
 
Kufilisika hakujawahi kua AIBU.

Nasaheshimu Sana watu wanaofilisika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…