Nimekutana na monitor wangu wa darasa amechoka, yaani amechakaa kinoma!

Hahahaha
Na bado unaendsleza tabia za shuleni🤣🤣🤣
 
Samehe mkuu,mambo ya utotoni unayabeba mpaka leo.You are all matured now,samehe yaishe!
 
1- kuni sifia sifia ni dalili ya usnitch
2- kwanini alikuwa anajiona mjanja kisa ana nafasi pale shule
3- hata ukimsaidia atarudia zile tabia zake maana jamaa ni mnoko sana hiyo tabia hata waliosoma naye chuo wanasema mwana hajaacha unoko!
 
Una roho ya kichawi na kimaskini. Halafu ni kweli huna akili. Ukiwa na akili huwezi andika uzi kama huu. Ungekaa naye na kuangalia namna ya kumsaidia.siyo kuja andika huu uzi wa kipumbavu.
Nilipambana nikafanikiwa ila yeye usnitch wake na unoko ana shida kenge yule na aendelee kuteseka tuu!
 
Wenye akili watu kama hao huwa tunawashukuru sana maana bila wao tusingekuwa tulipo. Sema kwenye bichwa lako umejaza maujiuji kama toto linalobalehe
Hayo ni mawazo yako!
 
Mtafute Mwamba umsaidie,huenda aliyokufanyia ndo yamekufikisha ulipo vinginevyo huenda usingefika hapo.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…