Mbona unamtetea hivyoo? Hujiulizi kwanini ana maisha magumu? Ni malipo ya ule unoko wake. Huyo ni snitch hata ukimsaidia utakuja kukuta ndio anguko lako!Mtafute ,alisaidia kukujenga.Kwani aliyokushtaki nayo si uliyafanya kweli?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Umenena.Samehe 7×70
Wakati ule alikuwa juu wewe chini.Tofauti ipo kubwa sana na yeye aliiona wakati tumekutana. Life is a cycle.
Hilo neno.Wote mlikuwa na akili za kitoto ni kawaida mambo kama hayo
Acha ujinga mpe connection classmate wako. Haya maisha leo unamwona anahangaika kutafuta kazi kesho anaweza akawa chanzo cha msaada kwako au akawa hata mkuu wako.
Usijione umemaliza haya maisha tu mwanetu kuwa makini
Alikuwa na husda we si umesoma mkuu cunajua kuna wale wanapenda kujipendekeza sana kwa walimu! Bila kujua ya kesho.Pamoja na kiherehere cha huyo monitor ila nina uhakika wewe ulikua mkora, haiwezekani kila uhalifu unasingiziwa wewe tu.
Asingekuchongea mpaka Leo shughuli yako ingekuwa kuwapiga chabo watu guest roomAlinijengaje kwa kunichongea na kufurahia my downfall?
Kuchoka hakutokani na unoko wake.Watu wengi wenye roho nzuri mbona wamechoka?Mbona unamtetea hivyoo? Hujiulizi kwanini ana maisha magumu? Ni malipo ya ule unoko wake. Huyo ni snitch hata ukimsaidia utakuja kukuta ndio anguko lako!
Sio bure akuchongee kila Mara yawezekana ulikula demu wakeMilima haikutani ila binaadamu hukutana. Leo katika mishe zangu za hapa na pale nikabahatika kukutana na kiranja wangu wa darasa ametoka kufanya interview katika moja ya ofisi humu town.
Katika salamu za hapa na pale ikabidi nimkumbushe namna alivyokuwa kiherehere shule, kila siku kuniandika noise maker, mbaya zaidi nilishapewa adhabu ya kung'oa visiki kisa alinichongea nimemtukana. Mbaya zaidi alishanichongea kwa discipline master nimemchungulia mwalimu wa kike chooni, sitasahau siku hiyo hiyo walimu walinichangia staff room pale mpaka jasho linawatoka!
Yaani nilichezea kichapo mpaka kutembea siwezi najiburuta, darasani kwenye kiti ukikaa maumivu kama yote. Yaani kila nikimwangalia simpatii jawabu. Hakuchoka kali zaidi akaja nichoma nimeiba nyama jikoni nakumbuka ilikuwa siku ya graduu! Nikapelekwa staff tena mwalimu mmoja kanishika miguu mwingine mikono aisee nilichezea stiki za ujazo wote, nilipoachiwa na shule nikatoroka mpaka home kuulizwa kulikoni nikasimulia, kesho yake nikarudishwa shule nikalimwa suspension ya wiki 2.
Siku ya kuripoti likaitishwa parade pale shule kwahiyo nilikuwa nimekuja na rafiki wa mshua kama mzazi, dah akaambiwa anichape mbele ya wanafunzi wote na yeye alinipa stiki balaa. Siku ya kumaliza shule baada ya mtihani wa national form 2 nilipewa barua nipeleke home, nikaisoma kwanza kumbe ilikuwa ya kufukuzwa shule.
Ila one day yes, nimekutana naye ananiomba connection za town na kujidai ananisifia sana ila kila nikikumbuka madhila yake kule nyuma naona huyu ni snitch tuu! Nikaona isiwe tabu nikampa makavu asinijue tena nisije muitia mwizi hapa town!
NB: Mpatapo nafasi jamani jaribuni kuwa humble na kuishi na watu vizuri, siyo kuwachongea kwani life changes in a blink of an eye!
Miaka yote hiyo umebeba kisasi tu moyoni...loh ndo maana mnazeeka mapema na kufaMilima haikutani ila binaadamu hukutana. Leo katika mishe zangu za hapa na pale nikabahatika kukutana na kiranja wangu wa darasa ametoka kufanya interview katika moja ya ofisi humu town.
Katika salamu za hapa na pale ikabidi nimkumbushe namna alivyokuwa kiherehere shule, kila siku kuniandika noise maker, mbaya zaidi nilishapewa adhabu ya kung'oa visiki kisa alinichongea nimemtukana. Mbaya zaidi alishanichongea kwa discipline master nimemchungulia mwalimu wa kike chooni, sitasahau siku hiyo hiyo walimu walinichangia staff room pale mpaka jasho linawatoka!
Yaani nilichezea kichapo mpaka kutembea siwezi najiburuta, darasani kwenye kiti ukikaa maumivu kama yote. Yaani kila nikimwangalia simpatii jawabu. Hakuchoka kali zaidi akaja nichoma nimeiba nyama jikoni nakumbuka ilikuwa siku ya graduu! Nikapelekwa staff tena mwalimu mmoja kanishika miguu mwingine mikono aisee nilichezea stiki za ujazo wote, nilipoachiwa na shule nikatoroka mpaka home kuulizwa kulikoni nikasimulia, kesho yake nikarudishwa shule nikalimwa suspension ya wiki 2.
Siku ya kuripoti likaitishwa parade pale shule kwahiyo nilikuwa nimekuja na rafiki wa mshua kama mzazi, dah akaambiwa anichape mbele ya wanafunzi wote na yeye alinipa stiki balaa. Siku ya kumaliza shule baada ya mtihani wa national form 2 nilipewa barua nipeleke home, nikaisoma kwanza kumbe ilikuwa ya kufukuzwa shule.
Ila one day yes, nimekutana naye ananiomba connection za town na kujidai ananisifia sana ila kila nikikumbuka madhila yake kule nyuma naona huyu ni snitch tuu! Nikaona isiwe tabu nikampa makavu asinijue tena nisije muitia mwizi hapa town!
NB: Mpatapo nafasi jamani jaribuni kuwa humble na kuishi na watu vizuri, siyo kuwachongea kwani life changes in a blink of an eye!
Hahahaha! Sijui ni kwa nini!Watu wengi wanapata faraja sana kuona watu waliokuwa vizuri darasani wamechapwa na maisha. Huu ndo uchawi wenyewe hakuna uchawi mwingine