Nimekutana na monitor wangu wa darasa amechoka, yaani amechakaa kinoma!

Ulifikia hatua ya kuchungulia watu chooni? (achalia mbali Mwlm!! ) wewe ulikuwa hatari ! Sijui kwa vipi, walimu nao wakakulea sana wakachelewa kukufukuza!
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†!
Napitia comments zote ni vigongo vitupu leo, utadhania vimekomentiwa na mtu mmoja, yaani ni moto... unaujua moto, ni fire!πŸŒ‹
 
Watu huchukiwa pale wanapotimiza majukumu yao, akili yako inakutuma kwamba, yeye na umonitor wake angelikuwa kama wewe.

By the way, ulitaka aweje?
 
Aiseee.somo lake atakuwa amelipata vizuri.
 
Watu huchukiwa pale wanapotimiza majukumu yao, akili yako inakutuma kwamba, yeye na umonitor wake angelikuwa kama wewe.

By the way, ulitaka aweje?
Si umesikia mkuu hapo kataja matukio ya kusingiziwa. Shida iko hapo.
 
akili zako ziko mata koni
 
Yani inaonekana ulikuwa mtukutu sana enzi hizo! We mpe monitor connections maana nia yake alitaka ubadilike mkuu
 
Naona umeamua.kunisema,sawa maisha yako mungu akujalie
 
Mbona wewe hauko humble?
Huna moro othorite kitushauri.

Mpe koneksheni monita kwanza ndipo utushauri.
Una kisasi kama jiwe
 
Siunajua katika stages za kukua. Tukashauriana na mwana tukamchungulie mwalimu chooni jamaa naye huyoo badala hata ya kuvunga kaenda kuripoti tukaja kudakwa hpo hpo tukiwa tunakula chabo.
Ulikuwa kilaza sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…