Nimekutana na mwanamke wa ajabu jioni ya leo. Jina la Bwana lihimidiwe

Achàna naye kaa na wake zako wawili nakabla hujaachana naye mwambie ukweli ila kama hutaki basi ila wewe unahitaji maombi unamatatizo kwenye ngono wake wawili na mchepuko Tena ???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji174]
Wanawake mmeumbwa kuvutia, mwanamke ni chakula cha mwanaume. Sio kila siku wali ugali, sometimes tunabadili na kula tambi[emoji3][emoji3]
 
Nimeishia hapo uliposema biashara ya mchepuko wako inamuingizia mamilioni kwa siku.


Melki the storyteller can't tell a good story!
 
Mkuu una mke, una mke mdogo na pia una mchepuko.
Wote wanakutegemea halafu kipato chako kinaonekana ni Tia maji Tia maji.
Jamaa maisha magumu unajitakia mwenyewe
 
Mkuu una mke, una mke mdogo na pia una mchepuko.
Wote wanakutegemea halafu kipato chako kinaonekana ni Tia maji Tia maji.
Jamaa maisha magumu unajitakia mwenyewe
Hapana, ni kwa vile tumeumbiwa mateso na kuhangaika. Uanaume kazi
 
Huo mchepuko bado unaendelea nao, haya kaka hongera.
 
Rudia hapo uliposema kibanda kipo karibu na saba saba. Sijaelewa vizuri
 
Mapenzi yana wenyewee, na wenyewee ndo sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…