[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Malizia kabisa, unaweza usirudi moja kwa moja...
Ungeza nyingineMkuu endelea basi popcorn zinaishaa
Demi wakitambo huyuJamaa yupo katikati ya bahari
Dah..atarudi tusubiriJamaa keshapewa onyo la kutoa siri hawezi endelea tena na hii habari...
Sipati picha aina ya kelle ulizopiga na kunyamaza ghafla ha ha haaaIliwahi kunitokea saa nane usiku nimelala usingizi mzito Pazia la dirisha sikulishusha ila vioo Nimefunga sasa nikazinduka ghafla usiku nikakuta jamaa ananiangalia kwa utulivu na hata alipojua nimemuona hakuondoka nilipopiga kelele hakuondoka nikaduwaa siamini baada ya dk tatu akaondoka mwenyewe
Naomba uniombee kwa mtoa mada ata kaelufu kumi katika zile 320,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vp utaratibu wa jini wewe umeujulia wapi kakaNilikuwa interested kuijua storie yako ila hapa nimeona umekuwa chai saasa badaa ya kugundua mambo flani ayaendani na utaratibu wa jini !!anyway ongera kwa chai tamu yako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu,hajamfanyia chochote kibaya lakini anagwaaaaya.sasa hapo tatizo liko wapi?,au ushamba unakusumbua?,usikute huyo ni malaika katumwa kukuonya,au hata kama ni kiumbe tofauti,kwani nini,akijipendekeza kula mzigo maisha yaendelee
Na wanawake msivyo pendana hapo litakuhisi una mmendea jamaa lita anza na wewe.Jamani nimeogopa Mimi[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22].
Hilo jini lisije kutukomesha tuu na sisi wachangiaji.[emoji29][emoji29]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazani yakiume hakuna?Kweli kaka zangu mpo kwenye mitihani. Salini sana jamani haya mambo yanatisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
na unae mpigia kelele anakuangalia wala hatikisikiSipati picha aina ya kelle ulizopiga na kunyamaza ghafla ha ha haaa
Punguza wivu babe....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mwambie amalize basi. Halafu mstue siku nyingine asilete story nusu nusu hapa,na sisi tutampa majeshi nusu nusu,ashindwe kupigana
[emoji13][emoji13][emoji13]Punguza wivu babe....[emoji12] [emoji12] [emoji12]