Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Malizia kabisa, unaweza usirudi moja kwa moja...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila mleta uzi huu ni very critical thinker,, akisema itaendelea ujue anendelea kutunga story ili iwe na episode za kutosha, changamoto tunayo ipata wabongo ni technology kuwa duni katika uzalishaji wa movies zenye episode nyingi kama hii,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipati picha aina ya kelle ulizopiga na kunyamaza ghafla ha ha haaa
 
Kuna jini mahaba la kike (I guess) lilikuwa linapenda kunifuata ndotoni (usiku nikiwa nimelala) ili niligegede, siku moja nililiomba tigo huko huko ndotoni, mwaka wa pili huu, sijaliona tena mpaka leo Mzigua90
Daaadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…