Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Hahahaha Jini huyo maskini kama mimi hanifai hela ndgo kiasi hicho!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kha!
 
Sio vizuri mtoto wa kiume kutumia maneno kama Foreni...ni Foleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye mtoto niache fire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa hapo ale noah aka mbuzi katoliki aka mnyama mtamu halafu tuone kama jini atabaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata hapa atakwambia naona umeenda kunisema jamii forums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Whaaaat?[emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa miaka ya 2001 tulikuwa tunaendaga sana coco siku ya jumamosi na jumapili, mshikaji wetu akatuacha baada ya maongezi na huyo demu akamwambia anakaa mitaa ya Morocco (nanukuu) Kwa hiyo wakaamua watembee maana sio mbali walipokuwa wanakaribia karibia na kanisa wakati mshikaji anaendelea kuongea akajikuta yupo pekee yake

Mshikaji akajua labda yule mdada amesimama kuangalia vizuri haoni mtu.

Akajaribu kujiridhisha labda arudi kidogo kumuangalia hakuona mtu zaidi ya watu wengine waliokuwa wanarudi kutoka beach.

Mshikaji hakudumu na tokea hapo alikuwa ni mtu wa kuumwa mpaka 2003 mwanzoni tukampoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…