Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Inasikitisha sana.
Pole sana mkuu kwa kumbukumbu yenye simanzi ndani yake.

Aliwaeleza lkn tukio hilo, na alichukua hatua gani kwenye matibabu.

(Ukiachana na hiyo ishu ya huyo msichana pengine labda aliumwa au alipata ajali iliyopelekea kifo chake)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuwa na mtu wa namna hii (ingawa ni ndotoni tu) mwanzoni nilijua ni ndoto lkn kadri mda ulivyoenda nikaanza kugundua matukio yanafuatana.

Ilifika wakati hata kuwa na girlfriend ni shida na mbaya zaidi hata nikitaka kufanya mambo yangu hakuna kinachowezekana.

Na nikiondoka hapo nitapata usingizi wa ghafla na nitasemwa hadi nifurahi zaidi kuna adhabu anaweza kukupeleka juu sana alafu anakuambia Nakuacha hapa udondoke ufe.

Kadri mda unavyoendelea alikuwa hana mchana wala usiku akinihitaji lazima nipumzike sehemu na hapo ninakuwa nae hadi atakapofurahi pia wakati huo hakuna mtu atakuja kuniamsha na hata kama angekuwa Boss nipo ofisini anaweza na kunipa ruhusa nikapumzike kwa amani kabisa.

Mambo ni mengi lkn kuna mlinzi wa mahali fulani baada ya kumshirikisha akasema atanipa dawa ya kuogea itanisaidia maana anafahamu dawa ingawa baada ya mlinzi yule kuniambia hivyo nilichukuliwa na kupewa vitisho vikali na safari walikuwa mabinti kama saba hivi nikavushwa juu ya mawingu wakaniambia wananiacha nidondoke nife.

Niliwaomba sana wasifanye hivyo na wanipe mda nifikiri nikazinduka nikamwambia tena yule mlinzi akasema watakusumbua sana lkn hawatakufanya kitu.

Siku hiyo hakuja tena nikisubiri kesho yule mlinzi aniletee dawa na kesho jioni kama saa kumi na moja akaichukua tena akasema naona dawa yako unaletewa ila kwaheri.

Nilivyozinduka nakutana na simu ya mlinzi ananiambia tuonane nakupa dawa uweke kwenye maji ya kuoga kila unapooga kwa siku saba.

Hadi mda huu ni miaka zaidi ya 15 sijapata shida kama hizi ila natambua haya mambo yapo na mwanzoni alivyoondoka nilikuwa nina m miss maana sijawahi kutana na mtoto mzuri kama yule katika maisha yangu.

Matukio ni mengi siwezi kuyaandika hapa ila mtambue Haya mambo yapo hapa ulimwenguni na usipokutana nayo huwezi amini hata kwa kushikiwa kisu.
 
Hata ninyi kina Dada pia

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna watu mnachukulia haya mambo Kimasihara na utani, juzi nilikuwa Morogoro kuna binti yuko 20 yrs namfahamu ingawa si kwa undani sana, basi nikawa nimemwomba nimtoe jioni akale ice cream pale kwenye jengo la Nssf. Tumekaa pale tunabadilishana mawiki matatu, katika stori zetu ikafikia mahali akanisimulia mambo makubwa yaliyopata kumtokea. Kiufupi alikuwa ana jini ambalo lilipelekea hata kuanza kumbadili hata mwonekano wake hasa sura alinionesha hadi picha ambazo alipiga akiwa na mwonekano tofauti, nilikataa kuwa sie yeye, maana sura tofauti kabisa, mrembo balaa. Picha zingine kapiga na nduguze yeye sura inaonekana kiza tupu ila ndugu zake wanaonekana vizuri. Sasa anasema anaendelea na tiba kwa kutumia mashehe na anasema amepona kwa kiasi kikubwa.

Kwa kweli hata kukaa nae ilinitisha mana alisimulia mambo mengi yakutisha ikiwa pamoja na kupenda kujikwaruza na kitu chenye ncha kali kwenye mwili ili damu itoke!!!
 
Trust Me hii ni PAUKWA PAKAWA inshort nimesoma kidogo haya masuala ya majini kiimani kuna vitu fulani vinaonekana wazi ni tungo za mwanabalagha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa mbona kazi!!!?

Duh...

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mtike mghenji kwa mghanga areighwa mbingu ya vurinji ijeni lithiremkome thala,, kwa mtu asiejua mambo ya dunia na visa vya viumbe wake anaweza kupuuzia lakini mshkaji anapitia kipindi cha maumivu moyoni kuliko kuachwa na demu unaempenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namnan ambiere
 
Na usuperbug wako unapiga ukunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
True
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…