Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Haya Mambo unatisha Sana nilikuwa na rafiki yangu mdada lilimtokea usiku akapewa maelekezo ya mafanikio yake na jinsi anatakiwa kufanya akajua ni ndoto lakini cha ajabu anakurupuka usingizini akachukua simu anipigie kunipa taarifa za ndoto yake akashangaa kuona screen saver ina picha ya mtu walokuwa wanaongea ndotoni almanusura afe akatupa cm chini ikafunguka betri ikatoka akarudishia akaikuta halafu ni mwanamke mwenzake,, nikamshauri asubuhi hiyo awahi kwa ustadhi kweli akafanikiwa kwenda kwa kusaidiwa na shangazi yake Basi akasomea kisomo cha maana likapotea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi
Uliaminije kuwa ni Jini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mtu anaujasiri WA Kuja kukuangalia chumbani kwako usiku wa manane? Kumbuka hakuchungulii anakuangalia nawewe unamuangalia then unapiga kelele hakimbii wala hatetereki anakuangalia nawewe unamuangalia halafu anakaa mpk dakika nne mnatoleana macho na mnaonana yeye anakuona nawewe unamuona halafu anaamua kuondoka kwa hiari yake na c kelele zako

ombea yaSikukute Hii niliita mpaka Leo SHOO YA KIBABE DIRISHANI KWANGU
 
Jamani ayo ni majini dawa yake ni kuwa na Yesu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua wa kike au kiume mkuu...maana haya mambo ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…