kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Huu ukabila unaharibu uzi, nendeni pm mkajadili upupu wenu hukoWachina wa vudee lembeni kirinjiko hedaru makanya ijinyu gonja more mhedhi mbagha marindi mamba uti dhe
Khaa we kumbe kweli tapeli eeeh haya we ni nani na mtoa mada ni nani
Matatizo ya mwenzako yamekuwa sehem ya kiburudisho kwako..!![emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia halafu naongezea na tusiHuu ukabila unaharibu uzi, nendeni pm mkajadili upupu wenu huko
Poor you!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukabila wa mama yacoHuu ukabila unaharibu uzi, nendeni pm mkajadili upupu wenu huko
Poor you!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu kwa yaliyokupata kipindi hichoBora hata wewe umestuka mapema, mm nimnywaji wa pombe yani story yako zinaendana somehow na yangu..mpaka usingizi umekatika..nilikua kila nikikaa nae jionj nikitoka kibaruani naona mauza uza ya kishenzi..siku alipotaka tukalale tukapiga kinywaji akasema muda umeenda twende kwangu ulale asubuhi uamke uende kazini..aiseee! Pombe ilikata..nikakurupuka nikawa naanza kuvaa nguo..ardhi ya mule chumbani ikawa ina cheza cheza..inshort nilipotaka taa izimwe alinyoosha mguu na mpaka switch ilipo ni parefu kwenye kale kagiza nilimuona akibadilika uso mara sura hii mara ile nikawasha taa..alinibadilikia..nikalazimisha kuondoka kwani nilifika mbali sasa? Kitu cha fisi wawili wananifuata..giza totoro..milio ya wanyama..hapo ni mikocheni b dsm..ukiwa kijana una kipato na una muonekano flani ni shida sana..mungu akutangulie brother, natamani tuonane ! Hapa nahema nikiwaza nilivoteseka, kazi nikapoteza na aliniapia wakati namkataa nilimwambia sikuelewi..yani dahh nakuonea huruma..af hua wana access na simu wanajua unawasiliana na nani..
Wachina wa vudee lembeni kirinjiko hedaru makanya ijinyu gonja more mhedhi mbagha marindi mamba uti dhe
Umedhihirisha u great thinker wako mkuu hongera. Yaweza kuwa kweli ulichosemaDaah pole sana mkubwa wangu jambo usilo lijua sikuzote nilazima likutatize ila kabla hujafikilia mbali sana hadi ukawaza kuwa kilicho tokea ni mkosi au Nuksi ......Waza hili kwanza "Wewe ni mfanya biashara na ukweli unafahamika na watu wengi sana kuliko unao wafahamu wewe huyo binti huenda akawa anakufahamu vizuri kuliko unavyo fikili kwakua ukiwa unapenda au kuitaji kitu ambacho kinaitaji mbinu kukipata nilazima utakifuatilia sana ili pengine ujue mazaifu yake au mapungufu ...............Mtazamo wangu huwenda binti anajalibu kutafuta namna ya kufanya uwe nae.!!!!!
Anazingua uyuNimekupiga marufuku mtoto wa kiume kutumia maneno kama 7bu, hvy..una haraka gani au unawahi foreni ya kusuka?
Mwanaisha Mohamed anakuambia uoge..wewe na kidevu chako kilichochafuka zege la ndevu unasema unaogopa baridi..??rubbish!!
Niko na Z-Anto hapa anasema rudia hapo kwenye kupigwa busu kisha akakata simu. kitunguu swaumu
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umeichukulia hii issue simple kinoma yansasa hapo tatizo liko wapi?,au ushamba unakusumbua?,usikute huyo ni malaika katumwa kukuonya,au hata kama ni kiumbe tofauti,kwani nini,akijipendekeza kula mzigo maisha yaendelee
mkuu hyo binti anasoma chuo maana nlkutana binti nae moro hapo same stori alinipaKuna watu mnachukulia haya mambo Kimasihara na utani, juzi nilikuwa Morogoro kuna binti yuko 20 yrs namfahamu ingawa si kwa undani sana, basi nikawa nimemwomba nimtoe jioni akale ice cream pale kwenye jengo la Nssf. Tumekaa pale tunabadilishana mawiki matatu, katika stori zetu ikafikia mahali akanisimulia mambo makubwa yaliyopata kumtokea. Kiufupi alikuwa ana jini ambalo lilipelekea hata kuanza kumbadili hata mwonekano wake hasa sura alinionesha hadi picha ambazo alipiga akiwa na mwonekano tofauti, nilikataa kuwa sie yeye, maana sura tofauti kabisa, mrembo balaa. Picha zingine kapiga na nduguze yeye sura inaonekana kiza tupu ila ndugu zake wanaonekana vizuri. Sasa anasema anaendelea na tiba kwa kutumia mashehe na anasema amepona kwa kiasi kikubwa.
Kwa kweli hata kukaa nae ilinitisha mana alisimulia mambo mengi yakutisha ikiwa pamoja na kupenda kujikwaruza na kitu chenye ncha kali kwenye mwili ili damu itoke!!!