Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Khaa we kumbe kweli tapeli eeeh haya we ni nani na mtoa mada ni nani

Sent using Jamii Forums mobile app
🀣🀣🀣🀣 hafadhali umemshtukia huyu purapura halafu yeye na Super Handsome itakuwa mtu mmoja miandiko yao imefanana pia.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kudanja kwasababu ya ile hofu au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa huyo jini ana uwezo wa kuingikia mawasiliano ya kupitia teknonoljia ya kisasa kama simu basi angekuja kumtisha jamaa hata hapa kweye JF, wote tinaosoma uzi tungetumiwa ujumbe sijui PM kwamba wewe fulani na wote kwenye jukwaa la JF minajisumbua. Ingekuwa kama mlivyotishwa kwenye simu ktk kisa cha huyo jamaa yako.

Tena jini libgetutaja kwa majina yetu halisi kuonesha linajua kola kitu hatuwezi kilikwepa.
 
Kwanini hukumwambia akiachie 1 billion ndo asepe? Au alikupa ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nangoja kesho umalizie ndio nipate ja kukujibu mkuu
 
Mhhh ukiwa na issue serious huwez simulia km anavuosimulia huyu mleta mada, kuna namna huyu jamaa anacopy tu mahala hii issue na kupaste au kahadithiwa.
nangoja kesho umalizie ndio nipate ja kukujibu mkuu

Sent from my Le X522 using Tapatalk
 
Ulikuwa huna haja ya kuandika yote haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka screenshot hapa za conservations zako na huyo jini tujue uhalisia wa tatizo lako la sivyo tangazo lako litakuwa successfully
 
Sheikh gani aliekusaidieni mkuu
 
Sijui kwanini siogopagi uchawi wala majini, ningekua mimi ningemgonga mpaka siku zake zipotee labda awe hana papuchi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…