Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

KUKUSHAURI ILI ASIKUFATE TENA USIKU UNAPOLALA UJIPAKE MAFUTA YA NDIMU NA UWEKE KITUNGUU SWAUMU CHINI YA MTO HAJI TENA MAANA KHARUFU ZA MAFUTA YA NDIMU NA VITUNGUU SWAUMU VINAWAKERA SANA NA MAFUTA YA NDIMU HAKIKISHA UNAPAKA KILA MARA JAPO CHINI YA MAKWAPA ATAKIMBIA MWENYEWE
atakuwa na yeye mchawi sasa
 
Bora hata wewe umestuka mapema, mm nimnywaji wa pombe yani story yako zinaendana somehow na yangu..mpaka usingizi umekatika..nilikua kila nikikaa nae jionj nikitoka kibaruani naona mauza uza ya kishenzi..siku alipotaka tukalale tukapiga kinywaji akasema muda umeenda twende kwangu ulale asubuhi uamke uende kazini..aiseee! Pombe ilikata..nikakurupuka nikawa naanza kuvaa nguo..ardhi ya mule chumbani ikawa ina cheza cheza..inshort nilipotaka taa izimwe alinyoosha mguu na mpaka switch ilipo ni parefu kwenye kale kagiza nilimuona akibadilika uso mara sura hii mara ile nikawasha taa..alinibadilikia..nikalazimisha kuondoka kwani nilifika mbali sasa? Kitu cha fisi wawili wananifuata..giza totoro..milio ya wanyama..hapo ni mikocheni b dsm..ukiwa kijana una kipato na una muonekano flani ni shida sana..mungu akutangulie brother, natamani tuonane ! Hapa nahema nikiwaza nilivoteseka, kazi nikapoteza na aliniapia wakati namkataa nilimwambia sikuelewi..yani dahh nakuonea huruma..af hua wana access na simu wanajua unawasiliana na nani..
duuuh hivi hii dunia ina mambo makubwa hivi? pole sana mkuu hakika inatisha
 
Wenyewe wanadai ni huyohuyo mtoa mada kwa I'd nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hebu nisimulie kidogo boss, ilikuwaje, mlikutana vipi na mkaachanaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
 
Ha haaa,nipo kwny final stages za kumkacha imechukua muda mrefu coz nilizaa nae,nikikamilisha ntakumegea full story! Yaani issue km hii ukiiandikia script ukatoa movie watu wataichukulia km fiction tu ila...
Haha hebu nisimulie kidogo boss, ilikuwaje, mlikutana vipi na mkaachanaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni Kweli weka namba ya huyo jini hapa,. Nataka niongee nae
 
Back
Top Bottom