gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana bossWe acha tu rafiki,yaani kwa nliyopitia wakiitwa wanaume napita mbele wa kwanza! Ila nadhani pia kuna jambo Mungu alikusudia kunipitisha huko imenijenga sn as a man as well as a spiritual being.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika maoni yako haya ni ya kwangu.
Kumbe umeliona hilo mkuu.
Yes hata me hapo kwny kutatua hili kwa uganga ambalo nadhani Super Handsome amelizungumzia pamenipa utata,hizi issue mganga hana jeuri nazo anaweza tu kukupumbaza ukija kushtuka umepoteza almost everything,sn mganga atakupiga hela tu.Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
Asante rafiki,ila Mungu ni mwema kwa kweli kunivusha hapa namtukuza sn.
Halafu kuna mijitu inani husisha mm na ID ya mtoa mada wakati ID hii ina zaidi ya miaka 5 humu, .Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo tayari watu kibao wameandika humu hivyo mimi nimerudia tu. Sio kwamba mimi nawajulisha watu mara ya kwanza.
Sijazungumzia mganga, nimezungumzia ustaadh, after all siwezi mtaja wala mpekeka mtu, kila mtu apambane tu na hali yake buddah!Yes hata me hapo kwny kutatua hili kwa uganga ambalo nadhani Super Handsome amelizungumzia pamenipa utata,hizi issue mganga hana jeuri nazo anaweza tu kukupumbaza ukija kushtuka umepoteza almost everything,sn mganga atakupiga hela tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maisha mwanzoni yalikuwa km kawaida tu lkn baadae nikaanza kuporomoka kiuchumi,nikayumba sn then unabanwa kila kona unakosa kibali kwa kila mtu si ndugu,jamaa wala rafiki. Unakosa wa kukusapot then anakuchonganisha nao wote unabaki km bundi yaani ni balaa mwanzo mwisho.
Wasamehe bure hivi vitu mtu baki kuelewa unayopitia ni ngumu sn hadi yakufike.Halafu kuna mijitu inani husisha mm na ID ya mtoa mada wakati ID hii ina zaidi ya miaka 5 humu, .
Sasa huo ushauri kwanini usiutoe hapa hadharani kama unavyo jitanabaisha? Mpaka ufatwe Pm? Unaficha nn??Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
Nimekuelewa,sina maana we ni mpigaji ila nnacho maanisha ni kuwa ujikague vzr km wamekutatulia hili tatizo permanently,in the near future unaweza jikuta kwny utata coz hawa watu hawaendagi just kwa mtu yeyote wakija kwako ujue kuna something special unacho wanakiwinda so usipokubaliana nao na usiwe na ulinzi watakuangamiza kaka.Sijazungumzia mganga, nimezungumzia ustaadh, after all siwezi mtaja wala mpekeka mtu, kila mtu apambane tu na hali yake buddah!
100% correct, nilifukuzwa kazi, gari yangu ikawaka moto nikiwa kwenye foleni, nilifilisika nikakosa hata mia wala kiatu cha kuvaa, hakuna rafiki, ndugu wala mwanafamilia aliyetaka.kuniona..nikawa nafikiria nisafiri niende mbaalii nisipo pajua (Technically kumbe mawazo ya kujiua).. Hawa viumbe washenzi sana wakiamua kukukomesha.Dah maisha mwanzoni yalikuwa km kawaida tu lkn baadae nikaanza kuporomoka kiuchumi,nikayumba sn then unabanwa kila kona unakosa kibali kwa kila mtu si ndugu,jamaa wala rafiki. Unakosa wa kukusapot then anakuchonganisha nao wote unabaki km bundi yaani ni balaa mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] duuuWachina wa vudee lembeni kirinjiko hedaru makanya ijinyu gonja more mhedhi mbagha marindi mamba uti dhe
Pole sanaUmenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!