Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
Yes hata me hapo kwny kutatua hili kwa uganga ambalo nadhani Super Handsome amelizungumzia pamenipa utata,hizi issue mganga hana jeuri nazo anaweza tu kukupumbaza ukija kushtuka umepoteza almost everything,sn mganga atakupiga hela tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna mijitu inani husisha mm na ID ya mtoa mada wakati ID hii ina zaidi ya miaka 5 humu, .
 
Yes hata me hapo kwny kutatua hili kwa uganga ambalo nadhani Super Handsome amelizungumzia pamenipa utata,hizi issue mganga hana jeuri nazo anaweza tu kukupumbaza ukija kushtuka umepoteza almost everything,sn mganga atakupiga hela tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijazungumzia mganga, nimezungumzia ustaadh, after all siwezi mtaja wala mpekeka mtu, kila mtu apambane tu na hali yake buddah!
 
Mkuu niweke Sawa mnaishije mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maisha mwanzoni yalikuwa km kawaida tu lkn baadae nikaanza kuporomoka kiuchumi,nikayumba sn then unabanwa kila kona unakosa kibali kwa kila mtu si ndugu,jamaa wala rafiki. Unakosa wa kukusapot then anakuchonganisha nao wote unabaki km bundi yaani ni balaa mwanzo mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna jini hapa, naona marelia imekupanda tu. jini anatuma tigopesa. huyo wa jini wa bongo movie

izo nguo za mtumba unauza zilizo fuliwa na kunyooshwa, vp ulipo ziweka kwa siku 2 kwenye mfuko hazikujikunja (hadi zionekne ndo zinafaa kuliko nguo nyingine)
 
Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
Sasa huo ushauri kwanini usiutoe hapa hadharani kama unavyo jitanabaisha? Mpaka ufatwe Pm? Unaficha nn??
 
Sijazungumzia mganga, nimezungumzia ustaadh, after all siwezi mtaja wala mpekeka mtu, kila mtu apambane tu na hali yake buddah!
Nimekuelewa,sina maana we ni mpigaji ila nnacho maanisha ni kuwa ujikague vzr km wamekutatulia hili tatizo permanently,in the near future unaweza jikuta kwny utata coz hawa watu hawaendagi just kwa mtu yeyote wakija kwako ujue kuna something special unacho wanakiwinda so usipokubaliana nao na usiwe na ulinzi watakuangamiza kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah maisha mwanzoni yalikuwa km kawaida tu lkn baadae nikaanza kuporomoka kiuchumi,nikayumba sn then unabanwa kila kona unakosa kibali kwa kila mtu si ndugu,jamaa wala rafiki. Unakosa wa kukusapot then anakuchonganisha nao wote unabaki km bundi yaani ni balaa mwanzo mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
100% correct, nilifukuzwa kazi, gari yangu ikawaka moto nikiwa kwenye foleni, nilifilisika nikakosa hata mia wala kiatu cha kuvaa, hakuna rafiki, ndugu wala mwanafamilia aliyetaka.kuniona..nikawa nafikiria nisafiri niende mbaalii nisipo pajua (Technically kumbe mawazo ya kujiua).. Hawa viumbe washenzi sana wakiamua kukukomesha.
 
Sasa mtoa mada si uendelee au maana yako ni nini kutoa habar na kukaa kimya
 
Umenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom