Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Kumbe ni story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli hiki unachokielezea hapa unatakiwa kumuomba Mungu sana wala usiwe na hofu kwa Mungu kila kitu kinawezekana,shetani hana nafasi kabisa mbele za Mungu.
 
Hii chai unaweza dhani ni kweli ,maana mleta maada ana I'd mbili kwahy anajijibu yy mwenywe kukoleza sukari chai iwe tamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu omba hivi vitu visikukute,ukiona/kusikia watu wanasimulia unaweza ona ni chai dah ila km umepitia pitia comments wengi wanakiri kukutana na hivi visanga,me pia nshakutana na mziki wa aina hii,usiombeee....utajuta kuzaliwa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa.. We kitunguu swaumu kumbe unafuatilia hizi porojo za huyu mbongo movie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We tamani siku utamani zombie utafrai na show

Sent using Jamii Forums mobile app

Lihira vurundu vubaha iki litudhotia madeghe ambu enetughenja kini mbare iyo migongo lineparitika litufishe? Kana valala na vaghothi kula mbare venelikwea vikiiwa nahi Kari thi konda ya magwala iyo

Sent using Jamii Forums mobile app

shigha du mira mrungu evona tehena elikundie
Hizi nazo lugha za majini au?
[emoji48] [emoji48] [emoji48] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wenyewe wanadai ni huyohuyo mtoa mada kwa I'd nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…