Hahaahhaha aiseeeeh inachosha naona kapuuzia ushauri wa wadau humu kaamua kufanya kweli, kapewa masharti na jini asiendelee na hii stori na kureta mrejesho penzi limenogaHahahah kuwa mvumilivu huwezi jua labda jini kasepa nae maskani kwao
Duh pole sana bibie... [emoji216]Amnaaa nilikutana na mwamba nyoka akanibana ....bahati nzuri mwenyewe Nina damu ya kibabe haikunisumbua sana niliwahi hospital niko vizuri kama sijapatwa na kitu vile
Sent using Jamii Forums mobile app
atakuwa na yeye mchawi sasaKUKUSHAURI ILI ASIKUFATE TENA USIKU UNAPOLALA UJIPAKE MAFUTA YA NDIMU NA UWEKE KITUNGUU SWAUMU CHINI YA MTO HAJI TENA MAANA KHARUFU ZA MAFUTA YA NDIMU NA VITUNGUU SWAUMU VINAWAKERA SANA NA MAFUTA YA NDIMU HAKIKISHA UNAPAKA KILA MARA JAPO CHINI YA MAKWAPA ATAKIMBIA MWENYEWE
pole aisee, Nenda kaombewe faster kabla makubwa hayajakukutaNafikir ww unaweza kunielewa Ni kitu gani nazungumzia Ni wiki mbili tu, ila mambo ninayo kutana nayo...sijapata kuona maishani mwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
duuuh hivi hii dunia ina mambo makubwa hivi? pole sana mkuu hakika inatishaBora hata wewe umestuka mapema, mm nimnywaji wa pombe yani story yako zinaendana somehow na yangu..mpaka usingizi umekatika..nilikua kila nikikaa nae jionj nikitoka kibaruani naona mauza uza ya kishenzi..siku alipotaka tukalale tukapiga kinywaji akasema muda umeenda twende kwangu ulale asubuhi uamke uende kazini..aiseee! Pombe ilikata..nikakurupuka nikawa naanza kuvaa nguo..ardhi ya mule chumbani ikawa ina cheza cheza..inshort nilipotaka taa izimwe alinyoosha mguu na mpaka switch ilipo ni parefu kwenye kale kagiza nilimuona akibadilika uso mara sura hii mara ile nikawasha taa..alinibadilikia..nikalazimisha kuondoka kwani nilifika mbali sasa? Kitu cha fisi wawili wananifuata..giza totoro..milio ya wanyama..hapo ni mikocheni b dsm..ukiwa kijana una kipato na una muonekano flani ni shida sana..mungu akutangulie brother, natamani tuonane ! Hapa nahema nikiwaza nilivoteseka, kazi nikapoteza na aliniapia wakati namkataa nilimwambia sikuelewi..yani dahh nakuonea huruma..af hua wana access na simu wanajua unawasiliana na nani..
Hadithi yenyewe mbayaMpuuzi mmoja wewe na viepisode uchwara vyako....tupe na kashata tukuungishe kabisa wakati unaendelea kutunywesha kahawa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.
Haha hebu nisimulie kidogo boss, ilikuwaje, mlikutana vipi na mkaachanaje?Kwa tuliowahi kupitia hivi visanga tunamuelewa kabla hata hajamalizia kuandika,yaani unakuwa km amekugunga cctv kila unachoongea na kufanya anaona live halafu unatumiwa text za kukukata bit mda huo huo,basi unaangalia kulia na kushoto km utamuona then unakuwa mpole unasitisha mission unayofanya! Ha haaah lazma udate aisee ndo mana naona kuna watu na professions zao humu wanadhan ni mental disorder.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hebu nisimulie kidogo boss, ilikuwaje, mlikutana vipi na mkaachanaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heee hadi kuzaa ulizaa haya mambo mazito jamaniHa haaa,nipo kwny final stages za kumkacha imechukua muda mrefu coz nilizaa nae,nikikamilisha ntakumegea full story! Yaani issue km hii ukiiandikia script ukatoa movie watu wataichukulia km fiction tu ila...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa,nipo kwny final stages za kumkacha imechukua muda mrefu coz nilizaa nae,nikikamilisha ntakumegea full story! Yaani issue km hii ukiiandikia script ukatoa movie watu wataichukulia km fiction tu ila...
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kwenda kwa Sheikh Sharrif Majini.Hii itaishia kwenye maombi au kwa mchungaji kanisani.