Wanasemaga mwenye shibe hamjui wa njaa kakuambia anakiapo na tayali kuna adhabu hua anapata bado apuuze tu?Unakuwa muoga sana
Binafsi hii makitu ilinikuta nikiwa mdogo sana
Ila kitu kilichonisaidia ni kupuuzia
Na vikaja kuondoka vyenyewe
Weka mambo hadharani
Songa mbele na maisha yako
Uzuri kaitapika tayaliMtoa mada RIP naona ushanyonywa damu tayari
na dakika ulihesabu?Iliwahi kunitokea saa nane usiku nimelala usingizi mzito Pazia la dirisha sikulishusha ila vioo Nimefunga sasa nikazinduka ghafla usiku nikakuta jamaa ananiangalia kwa utulivu na hata alipojua nimemuona hakuondoka nilipopiga kelele hakuondoka nikaduwaa siamini baada ya dk tatu akaondoka mwenyewe
hahaaaaa majini wa bongo movie wamenishinda tabia wallahiSasa hii uichukue uwapelekee bongo movie wakutengenezee picha lake. Utapenda mwenyewe hizo harakati za jini Mwanaisha. Unaambiwa jini atavaa shuka nyeusi na nyekundu, atakuwa na mikucha mirefuuu, wakati huu tunaambiwa jini ni bonge la toto na ana chura, ila wa bongo movie atakuwa mrefu na vikalio ka ngumi.
Mwanzo umetoa maelezo kama mganga wa kienyeji baadae kama mtumishi haha ma mdogo umenishinda tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani acha tu shetani ni kitu ya ajabu snSasa kama ww umeishinae Kwa nn anakufanyia ivi .je anataka ujinyonge au
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa heshima na taadhima ma mdogo naomba unifunulie hicho kifungu kinachoelezea hayo matibabu uliyoyatoa hapoKama unasoma biblia usingekoment hv maana kwny biblia pia imeandikwa khs chumvi mkuu
Be Humble is free of charge [emoji873]
Makubwa hayaHa haaa,nipo kwny final stages za kumkacha imechukua muda mrefu coz nilizaa nae,nikikamilisha ntakumegea full story! Yaani issue km hii ukiiandikia script ukatoa movie watu wataichukulia km fiction tu ila...
Sent using Jamii Forums mobile app
:-XHizi nazo lugha za majini au?
[emoji48] [emoji48] [emoji48] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Bado unaishi nae?Sio jini endelea kupitia comments utakuta nimefafanua kidogo ilivokuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo boda boda lazima atakua niwa dar...kwa Wanaume wa mikoani lazma uyo jini angesahau adi nguo yake ya ndaniKweli mkuu hakuna shetani mzuri. Yaani Kuna jamaa mwaka jana mwanzoni alifanyiwa kitu mbaya na mtu/jini/msukule sijui niuite jina gani. Huyo jamaa ni boda, inasemekana ana tabia ya kutoboa ozone (kukesha akitafuta faranga). Sasa majira fulani ya usiku mnene akapata kichwa Cha kike kinaulizia mahala pa kulala. Jamaa akamwelekeza mteja wake na wakakubaliana ampeleke kwa kuwa ni usiku. Kufika logde haifahamiki walianzia vipi mpaka wakakubaliana wafanye mchikicho. Kule ndani jamaa anasimulia baada ya round sijui ya tatu sikumbuki, akaulizwa na mteja wake, "ulikula?" Jamaa akakubali, swali la pili la mteja jini jike " kwa kawaida yako huwa unaenda mara ngapi mbona umechoka mi bado?" Sikumbuki jamaa alichosimulia kumjibu huyo malikia. Ila anasema alifanyiwa usodoma wa hatari na huyo msukule jini mpaka akachanika (maana damu zilimtoka akashindwa kutembea kiasi Cha kuhitaji msaada pale lodge). Wakati anatendewa hayo mambo alikuwa akishuhudia kwa ufahamu wake but uwezo na nguvu wa kukataa au kupiga kelele haukuwepo.
Alikuja kupata ufahamu tu baadae kumekucha jua jeupe baada ya hamaki kile kilichomkuta (hallucinating) na ambapo alilazimika kupiga kelele ili kupata msaada kwa wahudumu wa ile lodge. Na alipoulizia huyo mgeni wake aliyempeleka pale kama wamebahatika kumwona, ilionekana hawakuona mtu yeyote kutoka ndani ya ile lodge toka walipoingia.
Msidhanie haya mambo ni ya kudhani au kitu ya bumbuwazi au kitu ya hallucination.
"Anyway kusoma sana nako hupotosha"
Pole sana DAMU ya YESU ndiyo itakuponya shika hapo hapo ,kuna Baba alikaa nalo miaka 7 na alikuwa na kilichofuata hakuwahi kugegeda na mkewe 7yrs hakuwa na nguvu kwa mkewe ila kwa jini na alimpangishia chumba hotel mpaka mkewe alipoamua kwenda kanisani ndiyo mmewe akaponaNashukuru kwa ushauri wako mzuri mkuu, kwanza nipende kubainisha hili mm Ni mkristo kamaili naamini katika Yes kristo, hv ninavyoongea naendelea na huduma ya maombezi kwa Hali niliyokuwa nayo mwanzo nisingeweza hata kuandika uzi huu, Maombi ndio yamenipa ulinzi na nguvu juu ya Vita kubwa niliyonayo kwa Sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaa....! Mpaka angejiuliza mimi ni jini au binadamu? Maana mpaka angesahau ametokea wapiUyo boda boda lazima atakua niwa dar...kwa Wanaume wa mikoani lazma uyo jini angesahau adi nguo yake ya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app