Kweli mkuu hakuna shetani mzuri. Yaani Kuna jamaa mwaka jana mwanzoni alifanyiwa kitu mbaya na mtu/jini/msukule sijui niuite jina gani. Huyo jamaa ni boda, inasemekana ana tabia ya kutoboa ozone (kukesha akitafuta faranga). Sasa majira fulani ya usiku mnene akapata kichwa Cha kike kinaulizia mahala pa kulala. Jamaa akamwelekeza mteja wake na wakakubaliana ampeleke kwa kuwa ni usiku. Kufika logde haifahamiki walianzia vipi mpaka wakakubaliana wafanye mchikicho. Kule ndani jamaa anasimulia baada ya round sijui ya tatu sikumbuki, akaulizwa na mteja wake, "ulikula?" Jamaa akakubali, swali la pili la mteja jini jike " kwa kawaida yako huwa unaenda mara ngapi mbona umechoka mi bado?" Sikumbuki jamaa alichosimulia kumjibu huyo malikia. Ila anasema alifanyiwa usodoma wa hatari na huyo msukule jini mpaka akachanika (maana damu zilimtoka akashindwa kutembea kiasi Cha kuhitaji msaada pale lodge). Wakati anatendewa hayo mambo alikuwa akishuhudia kwa ufahamu wake but uwezo na nguvu wa kukataa au kupiga kelele haukuwepo.
Alikuja kupata ufahamu tu baadae kumekucha jua jeupe baada ya hamaki kile kilichomkuta (hallucinating) na ambapo alilazimika kupiga kelele ili kupata msaada kwa wahudumu wa ile lodge. Na alipoulizia huyo mgeni wake aliyempeleka pale kama wamebahatika kumwona, ilionekana hawakuona mtu yeyote kutoka ndani ya ile lodge toka walipoingia.
Msidhanie haya mambo ni ya kudhani au kitu ya bumbuwazi au kitu ya hallucination.
"Anyway kusoma sana nako hupotosha"