Ukiona mtu anapinga hakuna uchawi sijui majini, kuwa makini naye anakuwa naye mchawi anaogopa siri zao zina bumburukaYes unfortunately sina hata mzuka wa kuanzisha uzi and quite sure nikiyaweka yote humu ndani ipo mijitu itadhani chai' ndo ivo mzee! Hows chuga?
Watu tuna subr part 4 we bado Upo Kwenye part 2[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa sister. Ila huyo jini angekumbana na vinjemba vya mkoani mbona angesahau hata jina lake (natania jamani msije mkampasia huku)Bwana wewe jini ni jini tu hakuna cha jini mbaya wala jini mzuri, sasa huyu anayetumia mamlaka yake ya giza kulazimisha mahusiano ndio utasema mzuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa naijua I'd yake ningemtagBasi sawa sister. Ila huyo jini angekumbana na vinjemba vya mkoani mbona angesahau hata jina lake (natania jamani msije mkampasia huku)
Sent using Jamii Forums mobile app
2 WAFALME 2:19-22Kwa heshima na taadhima ma mdogo naomba unifunulie hicho kifungu kinachoelezea hayo matibabu uliyoyatoa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, nilizani maajabu ya duniaSio jini endelea kupitia comments utakuta nimefafanua kidogo ilivokuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaa....! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Anafahamu kazi ya huku mkoani sister,ukimtag anakugezia kibao unamsakizia kwenye kifo. Njemba zinapiga mpini huku sister usiambiwe,inakesha inapiga kazi iko ndani tu. Njemba huku haziangalii hii njitu imekuja ktk mtindo gani? Kwanza zenyewe unafikiri zingefuatilia kujua ametokea wapi? Sijui ananukia nini? Sijui mwarabu,mchina. Zenyewe zingejua tu amekuja anga zao ni mashine tu (just joking)
Hata mimi nimeshangaa jini kafulia, nilitegemea atume hata 100milion hata huyu jamaa asingekuja kutafuta ushauriThat jini must be very poor, na kukusumbua kote huko halijatumia hata TZS 500K. Tafuta jini Matawi mwana.
Kijana unaonekana upo makini sanaWatu tuna subr part 4 we bado Upo Kwenye part 2[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah zimenipita Bro si unajua nimeangukia tu kwenye last page sijui yaliyojiliWatu tuna subr part 4 we bado Upo Kwenye part 2[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua humu jf kila mtu ametokewa na jini mahabaHahahahahahaha nacheka kama mazuri hii iliwai mtokea mjomba yangu kabisa hawa wanawake bhn
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss wangu yale yalikuwa ni maji, yaani ni kama leo hii maji ya chumvi ukayawekea dawa. Kingine Elisha alikuwa ni nabii na alifanya vile Mungu alivyomfunulia hakusema ndio formula, mbona ukitenda dhambi leo hauchinji ng'ombe wala kutoa unga sijui madhabahuni ili utakaswe? Au unataka kuniambia leo hii mtu mwenye ukoma akienda Yordan anatakasika? Hapana ni kwa sababu ilikuwa ni kwaajili ya Naaman peke yake. Ukisoma hilo neno Elisha hajasema mkipata tatizo hili tena wekeni chumvi na maji yenu yatapona lakini Yesu alipokuwa anafanya miujiza alikuwa anawaambia wanafunzi wake kwamba hata wao wanaweza kufanya na zaidi ya hayo... Huenda kesho wangefanya jambo lile lile kwa tatizo lile lile kisingetokea kitu
Sio mjomba yangu, sema mjomba wangu we ni mkenyaHahahahahahaha nacheka kama mazuri hii iliwai mtokea mjomba yangu kabisa hawa wanawake bhn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaa....! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Anafahamu kazi ya huku mkoani sister,ukimtag anakugezia kibao unamsakizia kwenye kifo. Njemba zinapiga mpini huku sister usiambiwe,inakesha inapiga kazi iko ndani tu. Njemba huku haziangalii hii njitu imekuja ktk mtindo gani? Kwanza zenyewe unafikiri zingefuatilia kujua ametokea wapi? Sijui ananukia nini? Sijui mwarabu,mchina. Zenyewe zingejua tu amekuja anga zao ni mashine tu (just joking)
Sent using Jamii Forums mobile app