mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
sorry kuna mahali nime ku quote kuhusu kuomba mchango sasa nakuja huku nakutana na hili mh! sikuwa nimesoma hii watu wajanja sanaYaani story umeanza jumatano Leo jumapili unasema maombi yamefanya usife kwa ushauri wa WanaJf . halafu hutaki kutaja ulipopata msaada wengine wenye shida na Wao wapone mmhhh hapa kuna kupigwa.