sorry kuna mahali nime ku quote kuhusu kuomba mchango sasa nakuja huku nakutana na hili mh! sikuwa nimesoma hii watu wajanja sanaYaani story umeanza jumatano Leo jumapili unasema maombi yamefanya usife kwa ushauri wa WanaJf . halafu hutaki kutaja ulipopata msaada wengine wenye shida na Wao wapone mmhhh hapa kuna kupigwa.
It means alikuja kutafta Kiki hafu kilicho ni shangaza gudume kasema hao watu matapeli atakuja ajifanye Kuna member kamchangia kiasi flani na kumsifia. Na huyu mleta mada kasema Kuna mtu kashamchangia hii ni coincidence or what
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu hiyo I'd ni ya mtunzi huyo huyo.
Angalia vyote alivyoandika ndiyo vinajitokeza kwenye huu uzi.
Kwani ni nani alijua huyu ataomba hela? Kwanini yeye atabiri halafu kabla ya dkk 5 uje Uzi kweli anaomba hela? Kama siyo anajitengenezea mazingira ya kuonekana nabii[emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
.Yaani uyumbe kiuchumi ndani ya wiki tu,ili khali jini alikupa laki 3?,acha masihara Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tuone mwisho [emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi nipo nilipomshtukia hyo kitu yake na huyo poker anajifanya eti kapewa mchango. JF napo Kuna Kiki sikuhizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndivyo basi watu wana malengo ya muda mrefu sana. Wengine tupo tupo tu.Hata mimi nipo nilipomshtukia hyo kitu yake na huyo poker anajifanya eti kapewa mchango. JF napo Kuna Kiki sikuhizi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mimi sijui kwa nini nahisi huu ni mchezo wa mtu mmoja mwenye ID mbili.
Ila vile sipendagi ugomvi ila huyu ni yule yule mwenye thread ya kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ebu ishia hapo hapo mkuu, maana yule jamaa akikuona...... atakurushia makombora mazito zaidi ya yale ya kule kwa Kim
Kama ni kweli awe muwazi aseme yupo kambi gani kwenye hayo maombi wenye mapenzi mema watapeleka hata kiroba cha unga vinginevyo ni utapeli huo...Unaweza pata 100M kwa miaka 20
Na unaweza maliza 100M in 7 days!
Usimbeze km unaweza msaidie!!
Sent using Jamii Forums mobile app
For sure, na anajua kuwachota kweli akili.
Ule uzi ilikuwa lazima awapate watu maana tunapenda umbea humu ndani acha kabisa haswa wanaume wa jfAlileta Uzi wake wa kukandia wadada akaona amepata shavu sasa kaja na utabiri feki ili wazidi kumwamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe nawe machale yamekucheza eeeh!!It means alikuja kutafta Kiki hafu kilicho ni shangaza gudume kasema hao watu matapeli atakuja ajifanye Kuna member kamchangia kiasi flani na kumsifia. Na huyu mleta mada kasema Kuna mtu kashamchangia hii ni coincidence or what
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani itakavyokuwa.. Amefanikiwa baada ya kuombea na mchungaji flani..Kawagusa ndugu zako....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaaaa naona matapeli mnapeana kampani...Kwani umelazimishwa kumsaidia? Au wewe ndio huyo jini nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna kitu hiyo I'd ni ya mtunzi huyo huyo.
Angalia vyote alivyoandika ndiyo vinajitokeza kwenye huu uzi.
Kwani ni nani alijua huyu ataomba hela? Kwanini yeye atabiri halafu kabla ya dkk 5 uje Uzi kweli anaomba hela? Kama siyo anajitengenezea mazingira ya kuonekana nabii[emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]Gudume katika ubora wake wa utunzi