Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Hahaaaaa hatari sana loh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jizi kuu. Kwenda huko na hadithi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi ukishaniona nikishabikia wanawake wakizalilishwa humu aisee ndo naona kwako, tena mie hata vigroup vya wanawake ku kutiona huwa sipendi kabisa. Na sijui jambo la wanawake kuzalilishwa humu tena huwa sipendi kabisa had hugombana na wanaume kwa kuniona mkorofi kisa kutetea wanawake mhhhhhh I wonder ur allegations to me. Something new.
Huwa hupendi kabisa mwanaume adhalilishe wanawake lakin wanawake wengine hushangilia dah wewe na cariha mko vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahahahahaaahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa Waiteeeeee!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ID nmeambiwa ni ya mzigua90 sasa si ziunganishwe iwe moja tu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…