Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Habari za muda huu wanajamvi, nimekuwa nikisoma comment zenu moja baada ya nyingine nilichogundua ni kitu kimoja, mliowengi humu hamna uhuru wa fikra, wengi mnatumia fikra za watu wengine kufanya maamuzi (si kwa ubaya).
Najitahidi kutumia hekima Sana katika Jambo hili maana naamini kabisa, hili ni tatizo langu lisije kuwa sababu za kuvuruga wengine. Naamini kabisa wapo wachache wenye mawazo mbadala ila inakuwa vigumu kuwasilisha hoja na hisia zao kwa sababu, hoja iliyoshika hatamu ni UTAPELI. Inawezekana kabisa mtiriko wangu wa thread unaonekana wa kitapeli au unafanana na thread's za watu waliowahi kufanya utapeli humu.

Swali je, nimekuja specifically kwa mtu kuomba msaada? Je kuna sehemu nimeonesha lawama juu ya kutokusaidiwa, ndugu zangu ni vile nipo kwenye matatizo tapeli hanyenyekei ila anashawishi ili kushika hisia zako.
Fatilieni uzi wangu vizur kama kuna sehemu nimezungumza kuwa maduka yangu yapo kariakoo? Au kuna sehemu nimesema wanamaombi wanafanyia maombi nyumbani kwangu! Ni vibaya sana kuchangia kitu kwa kufwata (Mzuka) au mihemko. Unatakiwa kuwaza kwa mujibu wa utashi wako uliobarikiwa na Mungu.
Ni nani aliwah kukwambia kisemwacho na wengi ndio sahihi? Jifunze kutoka katika huo mtazamo, maana utakosa mengi dunia ya Leo, sijasema kila kisemwacho na wengi ni batili lahasha ila unatakiwa kuwaza kwa akili zako nje ya box. Huyo mnaemuona kila asemacho ni sahihi..kwa tafsiri ya kawaida tu, yy ndio mwenye upeo mkubwa wa kufikir mambo kwa haraka kuliko Mw ngine, Je ni kweli? Jibu unalo, sasa hv anasheherekea kwa alichoplane kimefanikiwa. Mmemuona akichangia chochote tangu uzi huu uanze? Mnajua alikuwa anafiiria Nini? ( Ana hofu mm sijaja kufanya kazi anayoifanya yy humu). Wenye kuwaza vizuri, wamejua nazungumzia Nini. Ipo siku mtanishuhudia hili akiweza kuteka akili za watu wengi kwa kiwango anachokitarajia, basi yy ndie atakuwa Tapeli mkubwa kabisa kuwahi kutokea nchi hii. Maana akiamua kuanzisha jambo anajua 75% ya waliomo humu watamuunga mkono. Nashukuru kwa Michango kwa wale walioguswa, hata kwa wale walionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki Sana , muda ufika nitaweka kila kitu bayana hapa jukwaani. Niwatakie usiku mwema. Msichoke kuniombea wapendwa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna vitu pia vinatia mashaka, kwa mfano kwanini hutaki kutaja maombi yanapofanyika? je hujui kama mtu mwingine akifika pale hata kama hakuwa na nia ya kukusaidia mazingira yanaweza kumfanya akupe msaada? umekatisha story kwa madai ya kukatazwa kwa usalama wako tumekubali je kuficha unapofanyiwa maombi pia ni kwaajili ya usalama wako au huyo jini yupo humu jf so unafanya siri asijue (na kama ni kwasababu ya jini sijui kama una uwezo wa kumficha asijue unachokifanya na kinapofanyika) watu wana kila sababu ya kuhoji ili kujiridhisha kuna ukweli kiasi gani hasa ukizingatia wengi wao hawajawahi kukuona hata mara moja sembuse kukujua, kumbuka hata ,matapeli pia huwa wanakuja hivyo hivyo na story zao nyingi ukijichanganya tu imekula kwako so kama kweli unahitaji msaada pia unahitaji kutoa ushirikiano wa kutosha halafu kumbuka msaada sio fedha tu, kama mtu hana fedha ila kilo 20 za mchele hawezi kuzituma kwenye simu ka pesa itabidi akuletee sasa atakuletea wap kama ulipo tu napo ni siri????
 
Duhhhh pole sana Kiongozi hapo hali unayopitia unaweza fikiri ni story ya kusadikika kumbe ni kweli.


Vipi kwenye nyumba za ibada hauwezi kufika au ndugu zako wote umewashirikisha.
 
Back
Top Bottom