Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Duhhh!! Story inatishaaa kidogo....

Any updates???
 
Huyu aliyeleta simulizi ni jamaa yangu wa karibu, nilikutana naye katikati ya mwaka huu. Mambo yake yapo vizuri anamiliki magari na mijengo kadhaa hapa mjini.
 
Huyu aliyeleta simulizi ni jamaa yangu wa karibu, nilikutana naye katikati ya mwaka huu. Mambo yake yapo vizuri anamiliki magari na mijengo kadhaa hapa mjini.
Weee usiambie🤣🤣🤣 Eeeh? ikawaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…