Mbushuu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 2,175
- 3,398
Hapana brother sina uhusiano wowote na mtoa mada, kiasi fulani nina mashaka na uhitaji wake wa msaada na ndiyo maana nikajitolea katoni za maji badala ya pesa ili nione uhitaji wake.Naona unajitekenya kwa id nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app