Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Dahhhhh.....
Minaogopa sana maneno haki.
Na ndiomaana panapo tokea shere huwa naomba msamaha ama nakaa kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahhhhh.....
Me ile writing code tu nikajua hapa ni drama.....alichanganyikiwa alipoona watu wameweza kutrace location pale ndo ikawa ishuùuYule dogo wa kigoma niliposoma ile part ya kusifiwa ubo...o na mwanaume wa dar. Kama umepitia somo la kumsoma binaadamu na kodi za maneno pale nilimshtukia. Amefanya vile ili kuwateka watu kuwa na hamu ya kuujua mwisho wake. Halafu kuna mtu alimwabia kama upo posta kuna watu watakufata nimekutumia hela mmhh nikajiuliza tena pale. Binafsi nazijua sehemu za voda pesa lakini sina namba zao baada ya huduma nasepa. Halafu alieomba msaada anatuhumu alie msaidi kuwa msaada wake ana wasiwasi nao?? Mmhh
Ndukiiiii [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Poapoa brother, ngoja tuone mwisho wake.Brother utanipa mimi hizo catons nipeleke, nasubiri aniambie alipo naona kimya while yuko online
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tutafichana huko pm[emoji119][emoji119][emoji18][emoji18]Dahhhhh.....
Minaogopa sana maneno haki.
Na ndiomaana panapo tokea shere huwa naomba msamaha ama nakaa kimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyo jini yupo humu, ebu naomba akuje PM...[emoji39] [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona bahati imenidondokea hapa hapa mujarab kabisa....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
MhPole babe... Hii ngoma nzito, kwasisi wenye vidhambi dhambi ukitia pua tuu tunaimba parapanda...
uzi umekuwa wa moto, ule wa jini haueleweki na huu wa utapeli ndiyo kabisa.Hapo bado hajanichangia na I'd zake zote[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohhhooooo....[emoji134] [emoji134][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukipewa hela nami naomba kidogo.
Naona bahati imenidondokea hapa hapa mujarab kabisa....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wa maduka kariakoo
Kuna umoja wa wafanyabiashara,
Kuna vikundi vya wafanyabiashara kule
Halafu investment ya duka umalize pesa within a month?
Si uweke bond bidhaa zilizobaki dukani?