Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nadhani tumpe mda asipoleta mrejesho wenye ushahidi basis tutaamini kuwa ilikuwa paukwa, pakawa.Ni riwaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiumize utamu wa bibi jaman babu,nisamehe mimiNaamini utanitaka radhi wallah... nikigongesha hili kojoleo hapa kwa ardhi..yatakayokutokea usinilaumu
Tiss uyo anafanya kazi yakeMnapoteza muda na uzi huu kumzungumzia gudume... Ashamwaga upupu then kaishia zake.jamaa ana play with people's mind.vyovyote iwavyo sometime huwa simwelewi nia yake nini. So tujadili issue ya jamaa huyu na kisa chake.kumwongelea gudume ni kutimiza hitaji lake kuchafua tu akili za watu then anakaa anatusanifu.ndo maana hata mu mtag au kumsema vipi hajibu.ana enjoy sana.ana sababu zake bila shaka.
Hamna Mtu WeweYou got something correct..'watu wa aina yenu'..well did you expect we all genetically fools?
-Narudia hako ka 'hvy' ulikoandika ndio kakitunguu swaumu gani dogo? Mbona unaandika kama unawahi foleni ya kusukwa nywele?
-Niangalie content wakati mwenyew umesema uko njia panda? Sasa sijui unasukwa au unakula mavitunguu swaumu?
Sent using Jamii Forums mobile app
bado unalilia hela tu mzee[emoji16]Habari za muda huu wanajamvi, nimekuwa nikisoma comment zenu moja baada ya nyingine nilichogundua ni kitu kimoja, mliowengi humu hamna uhuru wa fikra, wengi mnatumia fikra za watu wengine kufanya maamuzi (si kwa ubaya).
Najitahidi kutumia hekima Sana katika Jambo hili maana naamini kabisa, hili ni tatizo langu lisije kuwa sababu za kuvuruga wengine. Naamini kabisa wapo wachache wenye mawazo mbadala ila inakuwa vigumu kuwasilisha hoja na hisia zao kwa sababu, hoja iliyoshika hatamu ni UTAPELI. Inawezekana kabisa mtiriko wangu wa thread unaonekana wa kitapeli au unafanana na thread's za watu waliowahi kufanya utapeli humu.
Swali je, nimekuja specifically kwa mtu kuomba msaada? Je kuna sehemu nimeonesha lawama juu ya kutokusaidiwa, ndugu zangu ni vile nipo kwenye matatizo tapeli hanyenyekei ila anashawishi ili kushika hisia zako.
Fatilieni uzi wangu vizur kama kuna sehemu nimezungumza kuwa maduka yangu yapo kariakoo? Au kuna sehemu nimesema wanamaombi wanafanyia maombi nyumbani kwangu! Ni vibaya sana kuchangia kitu kwa kufwata (Mzuka) au mihemko. Unatakiwa kuwaza kwa mujibu wa utashi wako uliobarikiwa na Mungu.
Ni nani aliwah kukwambia kisemwacho na wengi ndio sahihi? Jifunze kutoka katika huo mtazamo, maana utakosa mengi dunia ya Leo, sijasema kila kisemwacho na wengi ni batili lahasha ila unatakiwa kuwaza kwa akili zako nje ya box. Huyo mnaemuona kila asemacho ni sahihi..kwa tafsiri ya kawaida tu, yy ndio mwenye upeo mkubwa wa kufikir mambo kwa haraka kuliko Mw ngine, Je ni kweli? Jibu unalo, sasa hv anasheherekea kwa alichoplane kimefanikiwa. Mmemuona akichangia chochote tangu uzi huu uanze? Mnajua alikuwa anafiiria Nini? ( Ana hofu mm sijaja kufanya kazi anayoifanya yy humu). Wenye kuwaza vizuri, wamejua nazungumzia Nini. Ipo siku mtanishuhudia hili akiweza kuteka akili za watu wengi kwa kiwango anachokitarajia, basi yy ndie atakuwa Tapeli mkubwa kabisa kuwahi kutokea nchi hii. Maana akiamua kuanzisha jambo anajua 75% ya waliomo humu watamuunga mkono. Nashukuru kwa Michango kwa wale walioguswa, hata kwa wale walionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki Sana , muda ufika nitaweka kila kitu bayana hapa jukwaani. Niwatakie usiku mwema. Msichoke kuniombea wapendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu wanajamvi, nimekuwa nikisoma comment zenu moja baada ya nyingine nilichogundua ni kitu kimoja, mliowengi humu hamna uhuru wa fikra, wengi mnatumia fikra za watu wengine kufanya maamuzi (si kwa ubaya).
Najitahidi kutumia hekima Sana katika Jambo hili maana naamini kabisa, hili ni tatizo langu lisije kuwa sababu za kuvuruga wengine. Naamini kabisa wapo wachache wenye mawazo mbadala ila inakuwa vigumu kuwasilisha hoja na hisia zao kwa sababu, hoja iliyoshika hatamu ni UTAPELI. Inawezekana kabisa mtiriko wangu wa thread unaonekana wa kitapeli au unafanana na thread's za watu waliowahi kufanya utapeli humu.
Swali je, nimekuja specifically kwa mtu kuomba msaada? Je kuna sehemu nimeonesha lawama juu ya kutokusaidiwa, ndugu zangu ni vile nipo kwenye matatizo tapeli hanyenyekei ila anashawishi ili kushika hisia zako.
Fatilieni uzi wangu vizur kama kuna sehemu nimezungumza kuwa maduka yangu yapo kariakoo? Au kuna sehemu nimesema wanamaombi wanafanyia maombi nyumbani kwangu! Ni vibaya sana kuchangia kitu kwa kufwata (Mzuka) au mihemko. Unatakiwa kuwaza kwa mujibu wa utashi wako uliobarikiwa na Mungu.
Ni nani aliwah kukwambia kisemwacho na wengi ndio sahihi? Jifunze kutoka katika huo mtazamo, maana utakosa mengi dunia ya Leo, sijasema kila kisemwacho na wengi ni batili lahasha ila unatakiwa kuwaza kwa akili zako nje ya box. Huyo mnaemuona kila asemacho ni sahihi..kwa tafsiri ya kawaida tu, yy ndio mwenye upeo mkubwa wa kufikir mambo kwa haraka kuliko Mw ngine, Je ni kweli? Jibu unalo, sasa hv anasheherekea kwa alichoplane kimefanikiwa. Mmemuona akichangia chochote tangu uzi huu uanze? Mnajua alikuwa anafiiria Nini? ( Ana hofu mm sijaja kufanya kazi anayoifanya yy humu). Wenye kuwaza vizuri, wamejua nazungumzia Nini. Ipo siku mtanishuhudia hili akiweza kuteka akili za watu wengi kwa kiwango anachokitarajia, basi yy ndie atakuwa Tapeli mkubwa kabisa kuwahi kutokea nchi hii. Maana akiamua kuanzisha jambo anajua 75% ya waliomo humu watamuunga mkono. Nashukuru kwa Michango kwa wale walioguswa, hata kwa wale walionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki Sana , muda ufika nitaweka kila kitu bayana hapa jukwaani. Niwatakie usiku mwema. Msichoke kuniombea wapendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu isuje ikawa kama kijana Emma na oterio wa forex
Akibadilika sura anakuwa mweusi na mbaya wa kutisha hivi ndivo rangi ya mtu mweusi hubaguliwa "Ubaguzi wa rangi"
Akikujibu mkuu usisahau kuntag maana huyo jamaa kanjanja hajibu hoja za muhimu zaidi ya kutupa lawama tuHii ni attention seeker syndrome kama kweli ni multiple IDs[emoji12]
Nimeshangaa kukutana na lawama za kutafuta kiki na utapeli juu....
Mkuu kama unataka kuwa-prove watu wrong sema ulipo walioguswa wakuletee misaada na kushiriki hayo maombi
Unaogopa kwa sababu za kiusalama zipii?? Na kama unataka yawe siri iweje uyalete JF?? Kwa sababu kama ni huyo jini angetaka kukudhuru angeshafanya hivyo muda mrefu...
Duka halijaisha umefunga, gari bado unalo kwa nini usiuze??? Toa ushirikiano na weka majibu mezani ili wadau wakuamini otherwise naona uzi ushachafuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari zenu wanajamvi, kipekee kabisa nipende kuwashukuru, kwa michango yenu katika ushauri juu ya tatizo lililo nikumba. Pia, namshukuru Mungu naendelea vyema kabisa, ingawaje vita ni kubwa mno...kwa sasa nimeshauriwa nisiseme chochote (sio kwa ubaya) ila ni kwa ajili ya usalama wangu pia.
Kwa wale wenye hofu na wasiwasi mm ni mzima wa afya... Ingawaje kumetokea mambo mengi sana ya kunirudisha nyuma, ikiwa ni pamoja na matapeli waliochukulia tatizo langu kama fursa. Nimepoteza pesa nyingi sana katika kutafuta suluhu la jambo langu, lakini nikiri wazi Mungu aliejuu mbinguni ashindwi na kitu, naamii atarejesha kila nilichopoteza.
Kwa sasa nimefunga biashara zangu zote (kwa muda) ili niokoe maisha yangu. Kwa sasa nipo kambini na timu ya maombi sehemu fulani (nisingependa kupataja) wananifanyia huduma. Kiukweli kabisa Vita ni kubwa mno Mama yangu kaponea chupu chupu kumpoteza.
Pia niwaweke wazi katika hili...mimi ndio msaada mkubwa katika familia yangu, matatizo haya yamesababisha ni yumbe sana kiuchumi. Hapa nilipo sina chochote (fedha) timu ya maombi inakesha usiku na mchana kunipigania..ukweli ni kwamba kama si nyinyi wana JF kunisisitiza ishu ya maombi nisingekuwa hai sasa. Naomba muendelee kuniombea pia.
Nashindwa nisemeje lkn najisikia aibu na fedhea kubwa kwa watu wanaopigania maisha yangu kushindwa kuwahudumia hata chakula na maji. Sio malipo kama wengine walivyohitaji ni bure kabisa ila hawa nao pia ni binadamu. Kama kuna yoyote ataguswa katika hili naomba aje Pm nitampa utaratibu aweze kunichagia chochote alichonacho (Nisieleweke vibaya tafadhali) kama utaguswa katika hilo naamini kabisa Mungu hatukuacha kama ulivyo ulipotoa atakuongezea mara dufu.
Nawashukuru sana kwa msaada wenu wana Jamii Forum. Niwatakie mchana mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
click subject utasoma hzo pmJamani eeeh samahani sana kwa kupachika swali nje ya mada,
Ni kwamba pm yangu inaonyesha kuna SMS tatu,lakini nikifungua inaniambia empty msg hii naitatuaje niweze kusoma SMS zangu!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app