Nimekutana na mwanaume Kawe ananiambia ananifananisha

Nimekutana na mwanaume Kawe ananiambia ananifananisha

Leo nilikuwa katika mizunguko yangu ya hapa na pale humu jijini Dar,katika kipindi hiki cha mapumziko

Lakini alasiri hii nikiwa duka moja huku kawe kuna wanaume wawili wamenifuata wakiniambia wananifananisha,wanaomba tufahamiane vizuri

Nikawambia mnahisi mmewahi kuniona wapi,wamedai Jf,nimewambia hamna mtakuwa mnanifananisha,nikaita Tax nikaondoka

Kumbe wanaume wa humu wako vizuri katika kumchunguza mtu
mwenzako nakuelewa ujue..
 
Back
Top Bottom