Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Hapo hivi iko sawasawa na kwa mke wako. Naye kakutana na soul mate handsome tall, mwenye hela na kila kitu. Anakuona km nyani ila anajikaza
 
Back
Top Bottom