Nimekutana na skin walker usiku wa kuamkia leo. Alikuwa binadamu, akageuka kuwa mbwa

Mkuu habari ya uzima.

Huku malizia ile ya yule joka alikuwa na madini mkiani mlikutana nae maeneo ya Tabora.
NItamalizia ndugu yangu...nilisubiri upepo utulie kidogo katika ule ubishi wa ile mbuga na aina za wanyama.
 
Siku niliyo shuhudia Jamaa yetu, aki chapwa Kofi na mtu asiye onekana ndo nili jua shit happen.
 
Hiyo kawaida sana mbona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…