The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Wale kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengi sana kuna watu huisi ni stori lakini yana uhalisiaHaya mambo sikuwa nikiyaamini kabisa mpaka ile siku yaliponikuta ndo ulikuwa mwanzo wa mimi kuamini kuhusu hao viumbe 😣
Kushenyetwa ndio nini, wanaume hawatumii hizo Lugha za.machoko. Ongea kiumeUnashenyetwa tena wewe ndio liskin walker lenyewe huwa unabadilika mpaka kuwa skin tight
Waipeleke na CCTV pia.Hiyo kwa lugha ya kitaalam inaitwa mass psychosis, tembeleeni idara ya afya ya akili pale Muhimbili mtapata taarifa zaidi
SI kweliCCTV Haionyeshi hao viumbe ni uwongo
Kwamba inaonyesha au?SI kweli
poleni kwa taharuki hiyo kiongozi. nnachoweza kusema ni kweli mambo hayo yapo mimi pia nimeshwai kushuhudia tukio kama lako. kwa upande wangu lilikua hiviUsiku wa kuamkia Leo, muda ya saa Saba usiku, nikiwa na mwanangu wa chuo kikuu cha UDSM, mke wangu, Binti wangu wa sekondari na mtoto wa kaka yangu tulikiwa tunatoka hotelini, tunalisogelea gari letu lililokuwepo maeneo ya maegesho ya Golden Tulip, Oyster Bay.
Mwanga wa eneo la maegesho tulikiwa mkali, tukiwa umbali wa kama Meta kumi kutoka kwenye gari, tuliona mwanaume mwenye kama urefu wa futi SITA amesismama wima kwenye mlango wa nyuma wa gari yangu.
Wote tukiwa tumemkazia macho, alageuza pozi akawa kainama kama anafunga kamba za viatu, mara akageuka kuwa mbwa, na kutokomea. Wote tukapigwa na mshangao.
Mke wangu akaogopa kabisa hata kuingia kwenye gari, akawa anaogopa hata Sauti za mawimbi ya bahari.
Nikajaribu kumtuliza lakini kiwango chake cha taharuki kikawa juu sana, hadi walinzi ikabidi waje kujua kuna Nini?
Nikawaelezea tukio, wakabisha, wakasema twende kwenye CCTV camera kuangalia footage.
Basi wakaridisha video ya eneo like, na wenyewe wakaona hakika kilichotokea.
Tukajaribu kuomba copy ya kipande hicho cha video tumekataliwa.
Lakini hakika ukistaajabu ya Musa, utayaona ya uncle Firauni.
Duniani Kuna mambopoleni kwa taharuki hiyo kiongozi. nnachoweza kusema ni kweli mambo hayo yapo mimi pia nimeshwai kushuhudia tukio kama lako. kwa upande wangu lilikua hivi
Ilikua alfajiri mishale ya saa Tisa usiku, nyumba nzima tulikua tumetoka nje tukiwa tukipiga soga za hapa na pale baada ya vibaka/wezi kutaka kujaribu kuvunja kitasa cha mlango na kutuibia. Kipindi icho kulikua na shida ya maji mjini Dar es salaam ivyo wakina mama walikua wanajihimu asubui kwa ajili ya kuchota maji. Sisi nyumba yetu ilikua karibu kabisa na kisima ambacho kilikua kinasaidia jamii yote katika kitongoji chetu na kwakua tulikua karibia magereza wakati mwingine hata wafungwa waliongongozana na askari magereza kuja kupata maji eneo katika kisima hicho. Hivyo basi wakati tunaendelea kupiga soga juu ya mwizi alipita jirani yetu(mama Eva) akiwa amebeba ndoo zake za maji kuelekea kisimani na akatupa pole kwa kujarbiwa kuibiwa. wakati mama eva ameshapita maeneo ya nyumbani ghafla tulimuona akirudi mbio na kupiga yowee na sisi wote tukawa tunaangalia anapotokea mtu mzima nini kimemsibu. wakati mama eva anakaribia nyumba nyuma yake anapotokea kulimuona mtu akikatiza kutoka upande mmjo wa barabara kuvuka nakuingia nyumba ya jirani ambayo ipo upande mwingine wa barabara. Mama Eva break ya kwanza ikawa nyumbani ambapo sisi tumesimama tunamuuliza kulikoni ndo anasema 'nimemuona mtu sio mtu mbwa sio mbwa' maana yake aliona mbwa akijibadilisha kurudi katika umbo la kibinadamu. Sisi tuliamini maana kweli tuliona mtu nyuma yake akiambuka barabara na ile nyumba alioingia yule mtu, wenye nyumba walikua wakisifika kua ni Wachawi/Wanga wanaweza kubadilika kua Mbwa au hata Paka wakati mwingine.
Hapo uli Mix by Yas 😂😂😂 Ukapata Yas Magift kwa Angel wa MbinguniMimi ni mtu mkimya Sanaa...siku moja majira ya saa 7 mchana nilikatiza KATIKATI ya uwanja mkubwa shule moja ya serikali..
Uwanjani pale huwa Kuna MTI mmoja mkubwa sana ambao huwezi kuukumbatia...gafla akaonekana Binti kavalia HIJABU mpaka Chini nilipo geuka Mara ya pili nilimwona tukakutanisha macho ni mwanamke mzuri asiye mithilika (nikagundua sio KIUMBE wa kawaida)
Gafla tuka kutanisha macho nikamwangalia Chini mpaka juu miguu haionekani kashikilia mti ule mkubwa huku kanikazia macho tukaangalia Mimi nikaogopa sikumwangalia tenaa nikatembea fasta fasta mpaka nikaumaliza uwanja nilipo geuka Tena hakukua na mtu Tena kwenye ule mti.
Nikaondoka nikaenda kwenye sherehe TUMBO likaanza kuuma Nika harisha Sanaa nikapata homa Kali sanaa...siku hiyo nikawaza ikifika usiku itakuaje...nikaenda wanapo uza chair fire nikala kitimoto nikaomba mafutaa kwenye kichupa pia Nikachukua mifupa ya kitimoto nikawa natembea nayo mfukoni😊☺️
Nikachukua mavi makavu ya kitimoto nikaweka dirishani mlangoni kwa juu na kwenye kila Kona mlangoni pamoja na mifupa ya nguruwe pia nikawa kwenye mto naweka BIBLE
Baada ya hapo sikupata tenaa maluwe luwe ya jini yule..
Hii formula niliitumia mwaka mzima natembea na kipande Cha mifupa wa nguruwe
Acha tu baadae Nika achana na hiyo formula baada ya mwaka na ushee kupitaa
wengi wanaoleta izi stori za viumbe vya ajabuajabu haukosi kusikia wakitaja baraghashia, kanzu nyeupe au hijabu. sasa hapa wanataka kutukanisha baadhi ya dini au kunani apo?alivaa kanzu nyeupee
CCTV Haionyeshi hao viumbe ni uwongo
DuuhOmba yasikukute....
Kuna stori nilishaleta hapa kitambo,,,,,nilikuwa nasafiri peke yangu usiku kama saa nane hivi maeneo kati ya Kwedikwazu na Michungwani...nikakutana na mwanamke ananiomba lift sikusimama baada ya kuendelea umbali kadhaa nikamuona tena ananisimamisha...... ghafla gari ikaanza kukosa nguvu na kuzima hata hivyo niliwahi kulitoa nje ya barabara kuepusha madhara....wakati natafakari nini kimetokea nikaona mtu mrefu anakuja uelekea wa nilipo ni mrefu kuliko cabin ya SCANIA alivaa kanzu nyeupee na alipokaribia gari nikaona macho yake mekundu kama mkaa wa moto,,,nilipoteza fahamu,,,,kuja kushtuka ni saa mbili asubuhi wananiamsha madereva wenzangu marehemu Tembo na Ngilangwa hii ni baada ya kuitambua gari niliyokuwa nayo,,,,,haya maajabu yapo ...TEMBEA UONE>>>
Hunted monster Ghost At'ta'ck on Baby CCTV camera.
View: https://www.youtube.com/watch?v=OlmJsG1d4pI
View: https://www.youtube.com/shorts/mnPQH9RRZqc
View: https://www.youtube.com/watch?v=J3WTKvEuhhg
View: https://www.youtube.com/watch?v=KkNVZeAKEgE&t=7s
Usiku wa kuamkia Leo, muda ya saa Saba usiku, nikiwa na mwanangu wa chuo kikuu cha UDSM, mke wangu, Binti wangu wa sekondari na mtoto wa kaka yangu tulikiwa tunatoka hotelini, tunalisogelea gari letu lililokuwepo maeneo ya maegesho ya Golden Tulip, Oyster Bay.
Mwanga wa eneo la maegesho tulikiwa mkali, tukiwa umbali wa kama Meta kumi kutoka kwenye gari, tuliona mwanaume mwenye kama urefu wa futi SITA amesismama wima kwenye mlango wa nyuma wa gari yangu.
Wote tukiwa tumemkazia macho, alageuza pozi akawa kainama kama anafunga kamba za viatu, mara akageuka kuwa mbwa, na kutokomea. Wote tukapigwa na mshangao.
Mke wangu akaogopa kabisa hata kuingia kwenye gari, akawa anaogopa hata Sauti za mawimbi ya bahari.
Nikajaribu kumtuliza lakini kiwango chake cha taharuki kikawa juu sana, hadi walinzi ikabidi waje kujua kuna Nini?
Nikawaelezea tukio, wakabisha, wakasema twende kwenye CCTV camera kuangalia footage.
Basi wakaridisha video ya eneo like, na wenyewe wakaona hakika kilichotokea.
Tukajaribu kuomba copy ya kipande hicho cha video tumekataliwa.
Lakini hakika ukistaajabu ya Musa, utayaona ya uncle Firauni.
Ndo mkome kuingilia mda wa watu kufanya mambo yao. Sasa saa saba usiku hujui ni mida ya wanga?
Mkuu habari ya uzima.Sasa sisi barabarani tunaosafiri wenyewe usiku tunaona mengi na tukisimulia inaonekana kama hadithi za kutunga.....na hata hivyo kuna watu watabisha....