Nimekutana na tukio limeniathiri kiakili kabisa

Nimekutana na tukio limeniathiri kiakili kabisa

Unalaumu ng'ombe kutokupewa huduma ya kwanza Je, wewe kama wewe umetoa huduma ipi au umemsaidiaje huyo ng'ombe. Au wewe ni wale wale unaona mtu anapata changamoto barabarani unaishia kupiga picha na kukimbilia jamii forum kupost
Sio mchinjaji na Wala sijulikani mtaani Kwa jamii yetu huenda ningeonekana mwizi ila ningekuwa mfugaji nisinge mfikisha pale bila kumpa huduma ya kwanza
 
Umekuja vizuri, lakini hitimisho lako halina mantiki kabisa. Ni kama tangu zamani ulikuwa katika hekaheka za kusaka visababi (visingizio) vya kulaani maisha, sasa leo uko kama vile umeipata mojawapo.
Umefikikia kijinga sana
 
Wakati natoka home kuelekea kuangalia mpira nikapitia maeneo ya machinjioni mtaani kwetu .

NIMEKUTANA na ngombe mnyama akiwa amelala chini huku akiwa amevunjika mguu wa nyuma mfupa uko nje nilistuka sana infacts sijawahi shuhudia live binadamu akiwa katika Hali iyo

Nika imagine maumivu anayopitia huyo ng'ombe je waliomfikisha hapo mbona hawakumjali kumpatia huduma ya kwanza au kumchinja ili kuepuka maumivu anayojisikia

Nika-relate na maisha halisia mfano wewe binadamu umevunjika mguu porini huwezi kuomba msaada mtu yeyote wala hakuna mtu karibu then anapita ng'ombe ? Hutotaka kumsemesha kweli?

LIFE HAS NO REAL MEANING
Wewe ni mkatili zaidi ya yule Mmarekani aliyempiga picha mtoto wa Kihabeshi aliyekuwa ananyemelewa na tai aliwe, lakini yeye akaishia kumpiga picha anaenda zake na kusambaza picha zake duniani bila ya kutoa Msaada wowote kwa yule mtoto. Unajua kilichomtokea yule mpiga picha? Alijinyonga kutokana na msongo wa mawazo! Ahahahahaha!!!!
 
Wewe ni mkatili zaidi ya yule Mmarekani aliyempiga picha mtoto wa Kihabeshi aliyekuwa ananyemelewa na tai aliwe, lakini yeye akaishia kumpiga picha anaenda zake na kusambaza picha zake duniani bila ya kutoa Msaada wowote kwa yule mtoto. Unajua kilichomtokea yule mpiga picha? Alijinyonga kutokana na msongo wa mawazo! Ahahahahaha!!!!
Wangenikuta hapo wachinjaji wangeniua kuwa nataka kuiba au kuroga Kwa kumuacha waliomleta pale vile ni hawako timamu
 
Back
Top Bottom