Kutokana na mazingira nayofanyia kazi zangu kuwa karibu na taasisi flani inayo husika na walengwa, nimeweza kujuana na baadhi yao waliosoma majuu sanasana wale wa ulaya ambao kwa sasa wapo Bongo.
Wengi wana mengi ya kushare hasa kwenye suala zima la elimu jinsi walivyoweza kupata sponsorship, kuchagua vyuo, kupata visa, n.k
Lakini kwenye Social life nje ya darasani wengi hawana mengi ya kushare, yani ile social life hasa ya vijana tunayopenda ya kuchangamana kwenda sehemu unacheza mpira au basketball, kudate watoto wa majuu, kwenda kwenye events kama matamasha, n.k.