Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

To be honest sijawahi kuyatumia mpendwa but what'sup?
A. Umeolewa?
B. Unaboyfriend? Km pote hapa haupo jitahidi uwe katika A Au B. Hayo mambo yataisha. Ila umeniogopesha sana maana huko unakoelekea siku kuzuri aise sbb utakuja umpe mzigo mkubwa sana mumeo. Utamfanya mumep hata km atatumia masaa 6 kifuani hautaridhika.
 
Utakuwa hujawahi kuchezea hogo vizuri wewe!
Haiwezekani ukeshe mtandaoni ukiangalia porns wakati mda huo ulipaswa kuwa unachezea hogo nikusihi tu kama hutojali njoo pm tuyajenge.
Nachezea sana tena nikianza kuangalia nakuwa self prepared kaka yako akija anaserereka tu but nikiwa bored lazima nicheki hata nusu saa ndio nivute shuka.
 
Huna kitu kingine chakufanya mpaka ucheki hyo mambo..unafany kazi gani kwanza...!
Kazi jioni kama sasa ndio natoka saa10 sasa jiulize hili gape kuanzia sasa mpaka nilale saa6 mana mm bila saa6/7 sijalala.
 
A. Umeolewa?
B. Unaboyfriend? Km pote hapa haupo jitahidi uwe katika A Au B. Hayo mambo yataisha. Ila umeniogopesha sana maana huko unakoelekea siku kuzuri aise sbb utakuja umpe mzigo mkubwa sana mumeo. Utamfanya mumep hata km atatumia masaa 6 kifuani hautaridhika.
Ndio ajipange mana hapa kazi tu ila wote wapo yani nina A B at once.
 
Kama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.

Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.

Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.

Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.

Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.

Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
Ni pm nikutumie video nyingine nina file la kama 10gb hivi
 
fanya maamuzi magumu fanya factorization na jiengage ktk mishe mishe
 
Afu nimegundua wasichana ndio wanapenda sana kuangalia hizi mambo, ila ukiwa nae karibu walahi ukiweka anaziba macho. Anyway mkuu dawa ni moja tu jitoe kwenye magroup na kuwa serious na mkuu wako.
 
Kazi jioni kama sasa ndio natoka saa10 sasa jiulize hili gape kuanzia sasa mpaka nilale saa6 mana mm bila saa6/7 sijalala.
Kumbe ni simple sana kurekebisha. Kwanza nataka nijue huyo bwana ako na yeye anafurahia kuyaona hayo mavideo.?

Kama unatoka saa 10 jitengenezee muda wa mazoezi walau lisaa mpk masaa mawili hii itasaidia kuuchosha mwili kiasi kwamba wewe ukifika sa nne tu unaangusha gari na siyo mpaka kusubiri mpaka sa sita. Mabadiliko yanaanzia kwako
 
Back
Top Bottom