Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nitakuwa nautuma kwa awamu kule, vp ile ya chura uliicheki?[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Tayari mzee ni hatari mpaka ya yule msukuma aliejitia kopo la lotion ya e-9 likadumbukia mazima ninayo!!
 
Tayari mzee ni hatari mpaka ya yule msukuma aliejitia kopo la lotion ya e-9 likadumbukia mazima ninayo!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
kama mkristu fanya toba mrudie Mungu ukayafute hayo madhabau ya ponografia
bila hivyo utapumzika kwa muda halafu utarudia tena huo uchafu mimi mwenyewe nilikuwa addictive sana
Mungu amenifungua
 
Tatizo nyie hamjamuelewa huyu miss curious..yy yupo addicted na kifiro kama cha kwenye hizo video za porn sasa huyo jamaa yake hawezi mpa hicho kifiro..na anaogopa kujarib kwengne..ndomana anaomba ushauri aache vip..
 
hahahahahahahahha naona kama mm nko tofauti, hakika sitaki wala usijisumbue kunitafutia
thanks though for your kind thoughts though not applicable
NiPM tusiwape watoto faida maana naona mate yanawatoka kama Maji
 
Kumbe wapo wengi saaana I thought that I was alone with problem kumbe wengine mpo alafu mnajikaushaee na wengine mnajidai kutoa ushauri hahaaa nmesomaaa!
 
Halaf hapo unaita kale kaugonjwa ka nyeto...halaf....mwishowe ni mauti. Usizidiwe nguvu na picha na wala sio kitu physical. Hata mm nilikuwa nayo ila nilijitoa yote kwa sasa sina hamu nazo kwa kweli. Ni mbaya si nzur..madhara yake ni makubwa kuliko.. ikiwemo kushindwa kufikir sawasawa...unatransform karibu kila kitu unatoa kwa mfano wa ngono..kushondwa ku concetrate na kazi zako za kukupa kipato unaishi kula picha za ngono...heshima ndio hivyo inaporomoka...thats pure satanic...
 
hahahahahah pm yangu ina limitation ya kuingia msg kwa siku
leo ishajaa
Oh unanifurahisha mwenye shida wewe mie nihangaike! Mie nimekupa dondoo na nadhani hupo kwa sasa kaika eiza ovuleisheni au kabla ama baada ya kutumia! Wakati ukifika nitafute kama kawaida msaada utapata wa kuzoa
 
Oh unanifurahisha mwenye shida wewe mie nihangaike! Mie nimekupa dondoo na nadhani hupo kwa sasa kaika eiza ovuleisheni au kabla ama baada ya kutumia! Wakati ukifika nitafute kama kawaida msaada utapata wa kuzoa
haya sawa nimekusikia
 
Punguza ukubwa wa bando kwenye simu mb 60 kwa siku,mb 200 kwa wiki.ondoa auto download kwenys wasap.epuka kuwa peke yako ndani mida hatarishi,tafuta vitu vya kukukeep busy.kuna hobby nyingi hakikisha unaingia chumbani ukiwa tayari unausingizi na simu uizime na kuiwacha mbali na unapolala.

Pia uangaliaji wa porno huendana na kupiga nyeto,so tafuta mtu wakukutimizia haja zako kiasi cha kutokuwa na hitaji la kuangalia hayo madude na kujichua.

Adiction huachwa taratibu huwezi kuacha tu overnight so jaribu kuacha taratibu.

La mwisho tafuta activity ambayo utaifanya muda ambao huwa kwa kawaida unautumia kuangalia huo ufirauni.tafuta kitu cha kureplace,angalia muvi,kaa na marafiki,fanya mazoezi etc.zingatia hilo.
Tengenza journal unakuwa kila siku unaandika kama umefanya ama laa.ukiweza kutoangalia ndani ya siku 21 bas umefanikiwa.

Chukia hiyo tabia kutoka moyoni,tengeneza mazingira kiasi ukifikiria kuhusu hayo madudu unachafukwa na kuchefukwa nayo.waswahili wanasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.wasalam
Akitimiza yote hayo atakuwa shetani huyo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hilo tatizo la kupenda kutazama picha za uchi limeanza ukiwa na umri gani mkuu ??

Pia baada ya kuangalia hizo video hua unahisi umepata raha au hua unajutia. ?????

Nijibu hayo maswali mawili halafu nitakushauri kitu
 
Back
Top Bottom