Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Kama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.

Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.

Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.

Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.

Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.

Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
Pole usipende kukaa peke yako
Nafikir ww ni msichana tafuta mwenza mkiwa wote hutokuwa na huo mda wa kuangalia hayo mambo
 
Mkuu hizo ni nyingi na ngumu kwa inavyoonekana amekubuhu
Atafanya atakazoziweza.au akiona hizo ngumu afunge kila j3 na alhamisi maana itakuwa ibilisi amemteka hivyo ajiweke karibu na mungu na aamke usiku asali.
 
ILE SIKU SHETANI ANA-UNLOCK SIMU YAKO KILA MAHALI ULIPOZIWEKA... KISHA ANAZI-PLAY NA KUWEKA SAUTI HADI MWISHO... HALAFU NI MSIKITINI, KANISANI AU KWENYE DALALA, AU KIKAO OFISINI NA BOSI.... HAPO NDIPO HAUTOKUWA ADDICTED TENA
 
Kama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.

Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.

Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.

Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.

Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.

Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
mkuu karibu mi naangalia sana kwenye pc ina sio adict
 
Dawa ni kuwa na mpenzi!....believe me!!.....Hakuna kitu kinachotesa mwili na akili kama mwanamke kukaa mda mrefu bila kutiwa au mwanaume kukaa muda mrefu bila kutumbukiza!!.....Mimi nilikuwa na shida kama hiyo ila baada ya kumpata babe imeishaa!!
 
sasa ndo umesema nini huko juu jaman shem, ujue hii lugha ilikuja na meli mm nimembulia mstari wa mwisho tu tena huko mwishoni.

PLs msaada mwenye aliye elewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom