mpiga era
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,078
- 2,266
Asante.....!Inakuhusu nini labda mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante.....!Inakuhusu nini labda mkuu?
Pole sanaKazi jioni kama sasa ndio natoka saa10 sasa jiulize hili gape kuanzia sasa mpaka nilale saa6 mana mm bila saa6/7 sijalala.
Umerudi baba?Kuna wale wenzangu na mimi watamPM dada wa watu wamuombe hizo Link za hayo Magroup [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
This is JF
siku hizi napita mdogomdogo tuUmerudi baba?
But I wonder leo umekuwa wa mwisho kulikoni?
uko vizuriKama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.
Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.
Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.
Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.
Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.
Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
ni add huko ..nikajionee hayo makituSend me your contant then I send you link and its your decision to choose group from Afrca, Asia' America or Europe cause I have many of them bu I prefer the one with Tanzania porns.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Cherokee D'ass ni mnyama, hawezi kukuacha salama.
Porno nazikubali kwa kitu kimoja, hata uangalie mara mia movi moja, haikuchoshi, itakusisimua tu. Tena unaamgalia bila sauti ila itakusisimua tu.
asanteKwani vp ?
Nimekuambia nataka ushauri but not a cock?
Yaani muhogo uko pembeni unakalia ujinga???Nitoe tongotongo nifanya coz I'm married but nimeshindwa
hvi ngoja nkuulize kwani kuangalia porn ni vbaya au binadam mwenyewe ndio anafanya mambo mabaya?Punguza ukubwa wa bando kwenye simu mb 60 kwa siku,mb 200 kwa wiki.ondoa auto download kwenys wasap.epuka kuwa peke yako ndani mida hatarishi,tafuta vitu vya kukukeep busy.kuna hobby nyingi hakikisha unaingia chumbani ukiwa tayari unausingizi na simu uizime na kuiwacha mbali na unapolala.
Pia uangaliaji wa porno huendana na kupiga nyeto,so tafuta mtu wakukutimizia haja zako kiasi cha kutokuwa na hitaji la kuangalia hayo madude na kujichua.
Adiction huachwa taratibu huwezi kuacha tu overnight so jaribu kuacha taratibu.
La mwisho tafuta activity ambayo utaifanya muda ambao huwa kwa kawaida unautumia kuangalia huo ufirauni.tafuta kitu cha kureplace,angalia muvi,kaa na marafiki,fanya mazoezi etc.zingatia hilo.
Tengenza journal unakuwa kila siku unaandika kama umefanya ama laa.ukiweza kutoangalia ndani ya siku 21 bas umefanikiwa.
Chukia hiyo tabia kutoka moyoni,tengeneza mazingira kiasi ukifikiria kuhusu hayo madudu unachafukwa na kuchefukwa nayo.waswahili wanasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.wasalam
hahaaaaa daaahhhMe naona hapo ongeza makundi matatu yafike kumi alafu...alafu kila ukifungua grup jitie dole la matako alafu nusa..fungua lingne fanya hivy kwa saa zima na kwa siku 21...utanipa mrejesho pm..kama umefanikiwa au la...
hahaaaaMaskini kwaiyo wewe huwa unajichokonoa mkunduni?
Hata mimi sijawahi kuziona...Acha ushamba mtoto wa kiume inamaana wewe hujawahi ziona?
Ufate wewe huo mhogo ukaukatikieYaani muhogo uko pembeni unakalia ujinga???
Kaomba ushauri wa kuacha ndo maana tumempa ushauri,wewe unayetaka kuendelea kuangalia endelea kuangalia.hvi ngoja nkuulize kwani kuangalia porn ni vbaya au binadam mwenyewe ndio anafanya mambo mabaya?