Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Leave hayo magrupu yoote,get a boyfriend... Fanyanenii as much as you can..Pray hio addiction iishe
 
Je, mumeo anajua kuwa upo na addiction ya porn?

Kama anajua, anafanyaje kukusaidia ili uache? Au nae ni mpenzi wa porno?
 
Watching porn goes hand in hand with masturbation, don't you masturbate after watching a few clips?

I used to watch porn, but was never addicted, once in a while I watch even to date but that doesn't make me an addict coz it happens only seldom, once in a very long time.
 
hvi ngoja nkuulize kwani kuangalia porn ni vbaya au binadam mwenyewe ndio anafanya mambo mabaya?
Mimi kwangu naona imekuwa too much mpaka simu yangu gb32 zimejaa nmeongeza external but wap so kiustaarabu wa mwanamke wa kiafrika sio sawa siunajua yale madudee yanaaamsha popo?
 
Je, mumeo anajua kuwa upo na addiction ya porn?

Kama anajua, anafanyaje kukusaidia ili uache? Au nae ni mpenzi wa porno?
Anajua japo hapendi but huwa namwambia ni kurefresh mind.
 
Watching porn goes hand in hand with masturbation, don't you masturbate after watching a few clips?

I used to watch porn, but was never addicted, once in a while I watch even to date but that doesn't make me an addict coz it happens only seldom, once in a very long time.[/QUO

That's why I,m tyn to get out of dea broda
 
Mimi kwangu naona imekuwa too much mpaka simu yangu gb32 zimejaa nmeongeza external but wap so kiustaarabu wa mwanamke wa kiafrika sio sawa siunajua yale madudee yanaaamsha popo?
Duh oga maji ya chumvi kujitakasa cc mshana jr
Siwezi kukujudge sana cz me huwa naangalia once ina very loong while js kamoja tu online baas...ukiwa na mwanaume wako anakusatisfy sio rahisi

Wekeza mda mwng kwny kazi, biashara,mazoezi hata kazi za mikono,spend free time na marafiki au hata kuwindowshop au kusoma vitabu,ikifika jioni waweza kuwa na routine ya beauty Treatments ama ibada...ama kuchat tu magrup ya kawaida au endelea na kazi za ofisini ...by sa 3,4 unakua umechokaa mbayaa utalalaa tuu...
Jiweke bizeee yanii...pangua ht nguo kabati zima anza kupasi kwa awamu upya,deki nyumbani, wafanyie usafi family members etc,yani jipe kazi kazi extra tuu
 
LadyRed nawe una-watch kamoja tu ku-refresh "down there"[emoji16][emoji16][emoji16].

Is watching porn a sin?
 
Anajua japo hapendi but huwa namwambia ni kurefresh mind.
Too much is not good, try to reduce the frequency of visiting porn sites, delete a few whatsapp groups as you're trying to abstain, have enough intercourse with your man, keep yourself busy with other stuff.

Have sex, usiku badala ya kuingia whatsapp mpe jamaa utram, ikiwezekana usiingie na simu chumbani, iache kwa sebule then go to bed, taratibu you'll be there.
 
Send me your contant then I send you link and its your decision to choose group from Afrca, Asia' America or Europe cause I have many of them bu I prefer the one with Tanzania porns.
Umeamua kuusambaza ugonjwa wako wa pono kabisa?
 
Duh oga maji ya chumvi kujitakasa cc mshana jr
Siwezi kukujudge sana cz me huwa naangalia once ina very loong while js kamoja tu online baas...ukiwa na mwanaume wako anakusatisfy sio rahisi

Wekeza mda mwng kwny kazi, biashara,mazoezi hata kazi za mikono,spend free time na marafiki au hata kuwindowshop au kusoma vitabu,ikifika jioni waweza kuwa na routine ya beauty Treatments ama ibada...ama kuchat tu magrup ya kawaida au endelea na kazi za ofisini ...by sa 3,4 unakua umechokaa mbayaa utalalaa tuu...
Jiweke bizeee yanii...pangua ht nguo kabati zima anza kupasi kwa awamu upya,deki nyumbani, wafanyie usafi family members etc,yani jipe kazi kazi extra tuu[/QUOTE

Nashukuru shost kwa ushauri wako mororo!

Ratiba yangu kwa siku ipo naamka saa 12 asubh najiandaa kwenda job
Saa2 huwa nakuwa na meeting ofisini mpaka saa4
Saa4 kamil hadi na nusu ni break fast yani hapo piga ua lazima niangalie moja mana nkiingia tu whatsApp huku napata kifungua kinywa nakuta yametumwa kibao mara nyingi kujinyima siingii huko kabisaa but kama nipo ovyo siunajua wengine siku nyingine tunaamka vibayaa lazima nichungulie moja ofisini fasta na kuendelea na majukumu.
Saa4 na nusu to saa7 ni lunch sasa hapo piga galagaza lazima niingie tena labda nikiwa na marafiki but maranyingi lunch napenda peke angu coz ofisi yangu ipo separate na wengine kutokana na rank za mgawanyo wa kazi, so nkishakula ugali samaki juice na maji nasushia na moja ndo najiona nipo sawa na wala hazinitumi vibaya but I only do this for fun.
Jioni nikitoka job saa kumi au 11 ikitokea mara nying saa12 nimefika home so nafanya shuhuli zangu za om kama unavyojua.
Ikifika saa2 nakuwa nishaoga, pika nk namsubiri shemela wako siunajua watu wa vyupa moja moto moja baridi wakati mwingine anarudi saa5/6.

So mda mwingi nakuwa bored nimeshaongea nimechoka so natumia mda kuperuz blogs tofaut na kuchezi habar so baada ya hapo ndio natamani kulala nikilala bila kucheck tena hizi movie usingizi hauji ng'oo!
 
KUNA USEME UNA SEMA "Every Man watches porn" We only differ in rate of watching it..... Simple!!!! And it's true
 
Kama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.

Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.

Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.

Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.

Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.

Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
Kiroho, athari za ngono na musturbation ni mbaya mnooo!

Zinakuweka mbali sana na Mungu.

Zinazuia baraka zako, zinakuletea aibu, zinakuondolea kujiamini na zaidi kabisa usitegemee kumpata Mume sahihi endapo utaendelea kuangalia hizo videos. Hata kwa mwanaume pia ni ngumu kukutanishwa na mke sahihi.

Pia, kisaikolojia inakuharibu sana na utashindwa kufikiria kufanya yaliyo ya muhimu...kila ukishika simu au ukikumbuka clip flan unaiangalia na kuacha mambo ya msingi.

Unahitaji kwanza kuamua mwenyewe kuacha na pia kuachishwa kwa maombi ya ukombozi ili kukomboa hiyo nafsi iliyoharibiwa haswa.

 
Mimi kwangu naona imekuwa too much mpaka simu yangu gb32 zimejaa nmeongeza external but wap so kiustaarabu wa mwanamke wa kiafrika sio sawa siunajua yale madudee yanaaamsha popo?
kwa hyo ni addiction ya kutzama au unakua na nyege mda wote unataman kulalwa?kuna vtu viwili kutzama na kuamsha popo.....so wewe unapenda kudinywa si ndio?
 
Mleta mada kwa kweli unastahili uwe kwenye record ya Guiness. Hongera sana.
 
kuacha punyeto ni rahisi sana kama ukidhamiria! mfano mim mwaka uliopita nilikuwa addicted sana. Njia nyepesi niliyotumia ni kwamba kwenye simu yangu aina ya iPhone kuna sehem kweny setting unarestrict adult content websites, hivyo nilichofanya nilimwambia jamaa kuwa aniwekee password yoyote tu na asiniambie ameweka password gan, na siku nikitaka kumuomba password bas aninyime kbsa!

kumbuka ukiweka password wew mwenyewe kuna siku utaiotoa tu ili uangalie porns! lkn kama rafiki yako ndo kaweka na hajakuambia ni password gan bas siku za mwanzo utataman sana kuijua lakn kadiri siku zinavyoenda na jamaa kukunyima password ndivyo unazidi kusahau kbsa kufatilia porns! Ndugu zangu hii ndo njia niliyoona nyepes kuitumia, mpka leo nimesahau porns na simu yangu aliallow adult contents yoyote ile!
We ni muathiroka wa kiwango gani {kwa miaka mingapi}
 
25443200_3371586543170106_5968984984982707647_n.jpg
Mia khalifa

unatisha sana bro
25443200_3371586543170106_5968984984982707647_n.jpg
 
Back
Top Bottom