Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Duuh, I see you're expert in the discipline.

Being the partner of a porn addict is not easy, that much I can vouch for.

There is no harm in watching porn on and off, I might say it's even healthy.

But when this interest turns into a habit that demands to be done every single day at a particular given time amd at every time, that is when you know it's a problem.

The best step to get out of addiction is the "will" to accept that there is an issue/problem.[You are winner in this].

["support"] of your hubby is important on overcoming this.. mwambie kila kitu ukihitaji dude ulikalie utazisahau.

Nice comments but you should know that without watching those things I cant even get wet during sex and you must know that I not watching instead of having sex nooo but just for the fun which ended me addicted.
 
ukijieleza sana humu hakuna kitakachokusaidia zaidi ya kukuongezea stress,hawa hawa wanaokushauri si ajabu wengi ni addicted zaidi hata ya wewe ila jinsi wanavyokushauri uthisi wewe tu ndio mwenye tatizo,na wengi watahisi labda uko so seriously addicted kkumbe kawaida tu
 
Wewe huangaliagi hizi mambo?
hapana mimi ninae live sina haja ya kuangalia za wengine
hujasoma ushauri hapo ni kuwa tu na kidume ndani? shem bhana acha kunidhalilisha bhana maana nimeona umeandika wakati mwingine ni afya, cjui afya ya ubongo ama ya nini labda unishauri tena kidogo hapo
 
Nice comments but you should know that without watching those things I cant even get wet during sex and you must know that I not watching instead of having sex nooo but just for the fun which ended me addicted.[/QUOT
duuuh hii lugha balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa blue
 
Baba yako angetambua ulivyo hopeless bora bao lako angepiga puchu tu ukashindwa kuzaliwa

Sory guys sitaki matusi na mabishano kwenye uzi wangu kama mnataka kutukanana anzisheni uzi wenu mtukanane but not here mwambie na mwenzako bahati mbaya I dont know how to tag ninngemtagi muache mambo yenu ya kihanisi nxieeew.
 
Sory guys sitaki matusi na mabishano kwenye uzi wangu kama mnataka kutukanana anzisheni uzi wenu mtukanane but not here mwambie na mwenzako bahati mbaya I dont know how to tag ninngemtagi muache mambo yenu ya kihanisi nxieeew.
Kwani baba yako anafahamu kuwa huwa unaangalia porno?
 
Kuna kitu k1 kwa Porno na Adultery. yaani every time you open any porn device you expect to get. Something tasty you have never experienced b4 you become so curious BUT at the end you find out nothing NEW
The same applied to adultery everytime you approach a new partner you become so curious but at the end of the day NOTHING NEW
So the best thing if you want to see the porn or commit adultery
TELL YOURSELF =*=NOTHING NEW
 
hahahahahaha huyo dogo ni vidole vyako nini
achana kubishana na mjinga utakuwa mjinga zaidi yake. Better cool down na endelea na maisha cause life has to go/move
I salute u [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kama title inavyojieleza, yani nilianzaga kama utani baada ya kuona link ya sex chart kwenye group flani la commedy nikajoin ili nijue what's there siunajua tena ukiwa curious you always wana know.

Kwa wanaojua magroup ya WhatsApp ya ngono watakuwa mashahidi wa hili kwani kunatumwa video nyingi sana na link za magroup mengine kama hayo kibao.

Hapa nilipo wapendwa nina more than 7 sex charts group katika WhatsApp mpaka aibu mtu kushika simu yangu maana nimeweka app lock kote sasa huwa wanajiliza kwanini ameweka mipasswords yote hiyo atakuwa si mwaminifu.

Nimejitahidi niache tabia hii lakini imenishinda tabia kwani mara nyingi night ndio najikuta very bored najiliwaza kupitia zile video chafu.

Ilifika kipindi nika-leave yale magroup yote but nimejikuta nikiomba link tena na kujiunga upya na kuendelea kufurahia ile vita pendwa hata na wavivu na waoga.

Wapendwa nisaidieni nifanye nini ili niweze kuacha kabisa kutizama video za ngono.
Fungua Emmanuel tv Tb Joshua akiwa anaomba weka mikono kwa imani kwenye Screen hiyo hali inaondoka faster Franklin speaking utakuja kuniambia mm mwenyewe nilikua muhanga but now I'm free nilijaribu kwa kila hali kwa uwezo wangu iligonga mwamba .After encountered with this man of GOD on tv I'm free hapo huwezi kuiondoa hiyo hali mwenyewe hata umtafute mwana saikolojia kazi bure.The choice is yours
 
Back
Top Bottom