Nimekuwa mtu nisiyejiamini na sipendi "kushobokea" watu. Nimeamua kufanya maamuzi haya

Nimekuwa mtu nisiyejiamini na sipendi "kushobokea" watu. Nimeamua kufanya maamuzi haya

Habari zenu humu wadau….Ninahitaji msaada wenu katika mawazo na ushauri.

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 mkazi wa jijini Dar es salaam(Sinza).Sijao wala sina mtoto, nina kazi ambayo huniingizia zaidi ya milliion moja kwa mwezi.

Nimekuwa mtu wa nisiyejiamini kabisa na kuona dunia au watu wapo against me au sijui ninacho kifanya katika maisha, napenda sana kuchanganyika na watu lakini mara nyingi sipendi kuonekana nina mshobokea mtu yaani.

Sasa nimeamua kufanya hivi niache kazi ninunue bajaj au boda nifanye maana naona maisha ya bajaj au boda boda ni ya uhuru na mazuri kiasi tofauti na huku kazini naogopa kufail au kuonekana ni mjinga.
Kijana acha upumbavu watu wanatafuta kazi ww unakimbia kazi kwa ushenzi wa kichwani? Mambo ya kuonekana ni ya wavulana wasiojiamini, kuwa mwanaume fanya kazi acha kuwaza vile utaonekana, wekeza as much as u can. Make more money u will find peace later.
 
Usiache kazi.. Mungu akupiganie..pole sana
 
Wewe ni Introvert km mimi hili pia linanikuta na nimefanya kazi nyingi jijini Dar es salaam lakini sikua na amani ya roho uamuzi niliochukua ni kutoka nje ya Dar na kuingia mkoani na kutafuta eneo kubwa ambalo nalima na kufuga. Hiyo ya kutafuta Bajaj naona imekaa vzr zaidi kuliko Boda bado ni uamuzi mzuri sisi Introvert tunashindwa kuwa chini ya mtu
No no no usimshauri aache kazi kaka, umefanikiwa ww usifikiri na yeye atafanikiwa kisa Introvert, muhimu kujifunza kuwa chini ya mtu kwanza before build up his carrier or capital. Kusimamia biashara au project ikakua sio mchezo.
 
Wewe ni Introvert km mimi hili pia linanikuta na nimefanya kazi nyingi jijini Dar es salaam lakini sikua na amani ya roho uamuzi niliochukua ni kutoka nje ya Dar na kuingia mkoani na kutafuta eneo kubwa ambalo nalima na kufuga. Hiyo ya kutafuta Bajaj naona imekaa vzr zaidi kuliko Boda bado ni uamuzi mzuri sisi Introvert tunashindwa kuwa chini ya mtu
Huyu siyo introvert, introvert hatuogopi kukutana na watu wala huwa hatuna wasiwasi wa kufeli kisha tukaonekana hatufai..

Huyu ana Social Phobia, plus ma dalili mengine ya magonjwa ya akili... Cha kwanza kwa nini kama ana kazi hajaoa wala hana demu? Hapo ndo ujue kuna shida mahali.
 
Kama mshahara wako ni chini ya 300,000 nenda Kafanye hiyo kazi ya bodaboda na Bajaji.
Ukivunjika miguu uwe ombaomba ndipo utakapoona watu wa Bajaji na bodaboda wanafaidi mademu.
Hivi umewahi kumwona mtu wa Bajaji au bodaboda kapaki gari ya kutembelea?
Tangu dunia ianze haihawi kutokea.
Akiadvance sana atakuwa dereva wa IST au Kirikuu ya mkataba akimaliza inakuwa yake anauza anaingia mkataba mwingine.
Kuna kitu nitakwambia juu ya hilo la kusema hakuna dereva bodaboda mwenye uwezo wa kumiliki gari. Now nipo busy ila nitarudi mkuu.
 
Habari zenu humu wadau….Ninahitaji msaada wenu katika mawazo na ushauri.

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 mkazi wa jijini Dar es salaam(Sinza).Sijao wala sina mtoto, nina kazi ambayo huniingizia zaidi ya milliion moja kwa mwezi.

Nimekuwa mtu wa nisiyejiamini kabisa na kuona dunia au watu wapo against me au sijui ninacho kifanya katika maisha, napenda sana kuchanganyika na watu lakini mara nyingi sipendi kuonekana nina mshobokea mtu yaani.

Sasa nimeamua kufanya hivi niache kazi ninunue bajaj au boda nifanye maana naona maisha ya bajaj au boda boda ni ya uhuru na mazuri kiasi tofauti na huku kazini naogopa kufail au kuonekana ni mjinga.
NUNU BAJAJ IWEKE BARABARANI HUKU UKIENDELEA NA KAZI..!!
 
Huyu siyo introvert, introvert hatuogopi kukutana na watu wala huwa hatuna wasiwasi wa kufeli kisha tukaonekana hatufai..

Huyu ana Social Phobia, plus ma dalili mengine ya magonjwa ya akili... Cha kwanza kwa nini kama ana kazi hajaoa wala hana demu? Hapo ndo ujue kuna shida mahali.m
Mademu ninao
 
Nakushauri acha kazi nunua baiskeli na uwe unabeba abiria mmoja mmoja,maana bajaji utabeba abiria wengi na mwisho wa siku watakusumbua bure.
Nilivyo kuelewa mm issue sio kuingiza pesa issue ni kupata amani ya moyo kwa kuwa hutaki kuwa chini ya watu si ndio?
Dah
 
Hiyo kazi nipe mm ww ufanye bajaji ndakushuru sana
 
Mkuu usiache kazi pls

Kujiajiri ni rahisi kabla hujaanza ukishaanza ni kimbembe tafuta tu njia ya kueza likabili tatizo ila USIACHE KAZI
Kama a nasumbuliwa na mizimu aache kazi nafisi yake ichukuliwe na mwingine
 
No no no usimshauri aache kazi kaka, umefanikiwa ww usifikiri na yeye atafanikiwa kisa Introvert, muhimu kujifunza kuwa chini ya mtu kwanza before build up his carrier or capital. Kusimamia biashara au project ikakua sio mchezo.
Kufanya jambo ambalo huna furaha nalo ni sawasawa na kuwa Gerezani muache jamaa akaangalie upande mwingine wa maisha asiwe na uwoga wa kufeli
 
Habari zenu humu wadau. Ninahitaji msaada wenu katika mawazo na ushauri.

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 mkazi wa jijini Dar es salaam(Sinza). Sijao wala sina mtoto, nina kazi ambayo huniingizia zaidi ya milioni moja kwa mwezi.

Nimekuwa mtu wa nisiyejiamini kabisa na kuona dunia au watu wapo against me au sijui ninacho kifanya katika maisha, napenda sana kuchanganyika na watu lakini mara nyingi sipendi kuonekana nina mshobokea mtu yaani.

Sasa nimeamua kufanya hivi niache kazi ninunue bajaj au boda nifanye maana naona maisha ya bajaj au boda boda ni ya uhuru na mazuri kiasi tofauti na huku kazini naogopa kufail au kuonekana ni mjinga.
Nakushauri usiache kazi yako hata kama unajisikia mnyonge, mwenye aibu, usiyejiamini na mwoga. Wewe bado ni kijana mdogo na ni kawaida kwa rika hilo na tena kuna wengine wana miaka hata 40 bado wana changamoto hizo. Ni jinsi tu unavyojifikiri, na si wengine wanavyokufikiri wewe.

Una kazi nzuri na unapata mshahara mzuri, najua kwamba muda si mrefu utajutia kuacha kazi na itakuchukua muda mrefu sana kupata tena kazi! Mimi nilifanya kosa hilo na najuta mno kwani ni vibaya sana kufanya maamuzi kama hayo kwasababu nyepesi nyepesi kama hizo. Tafadhali endelea na kazi na utakomaa jinsi siku zinavyokwenda kwani ndivyo ulivyokuwa miaka 10 iliyopita?
Habari zenu humu wadau. Ninahitaji msaada wenu katika mawazo na ushauri.

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 mkazi wa jijini Dar es salaam(Sinza). Sijao wala sina mtoto, nina kazi ambayo huniingizia zaidi ya milioni moja kwa mwezi.

Nimekuwa mtu wa nisiyejiamini kabisa na kuona dunia au watu wapo against me au sijui ninacho kifanya katika maisha, napenda sana kuchanganyika na watu lakini mara nyingi sipendi kuonekana nina mshobokea mtu yaani.

Sasa nimeamua kufanya hivi niache kazi ninunue bajaj au boda nifanye maana naona maisha ya bajaj au boda boda ni ya uhuru na mazuri kiasi tofauti na huku kazini naogopa kufail au kuonekana ni mjinga.

Wewe ni Introvert km mimi hili pia linanikuta na nimefanya kazi nyingi jijini Dar es salaam lakini sikua na amani ya roho uamuzi niliochukua ni kutoka nje ya Dar na kuingia mkoani na kutafuta eneo kubwa ambalo nalima na kufuga. Hiyo ya kutafuta Bajaj naona imekaa vzr zaidi kuliko Boda bado ni uamuzi mzuri sisi Introvert tunashindwa kuwa chini ya mtu

Perfectionism bro hiyo Ni hofu Kama hofu zingine.

Kuogopa kukosea na watakuonaje(Social approval) Ni wazi unapenda kuchukulia vitu personally.

Nilikuwa mhanga wa hiyo kitu na dawa Ni kuface hofu yako na kuushawish ubongo wako kuwa haikustui kusemwa untill iwe tabia kichwani mwako kuwa hakuna noma watajijua wao na mawazo yao .
 
Kuacha kazi ni maamuzi magumu, ndio maana waliozoea kungiziwa mshahara hawakubali uamuzi wako
 
Kuacha kazi sio vibaya kama umejipanga na utakachokwenda kufanya ili uweze kuishi
Unataka kuwa bodaboda 😀😀 hawa hawa unasindikiza mgeni apande mwendokasi wakiwaona wote wanawasha vyombo kuwakimbilia
 
V
Vijana wa Sinza waongowaongo tu uongo kwao ndiyo dili! Wewe unaingiza milioni moja kwa mwezi hii ni zaidi ya afisa anayekatwa kodi, leo eti unataka kuendesha bajaji! Hiyo bajaji unatuaminisha itakuingizia zaidi ya milioni moja? Heri yako mkora.
Sijui ametuonaje🤣🤣🤣
 
Katika ulimwengu wa kiroho una maumivu ya ndani unahitaji huduma ya uponyaji/deliverance ukipata hiyo huduma utakuwa sawa.
 
Huna lolote wewe hujiamini, muoga, una aibu, na labda una uwezo mdogo kazini... Ni hivi acha uoga mtoto wa kiume jiamini simama imara... Umekua mkubwa sasa 28yrs sio miaka midogo tena, ondoa utoto ktk maisha yako, ondoa fikra hasi... All in all nakutakia maisha mema ktk maamuz yako ya kufeli maisha kwa kuacha kazi na kununua bajaj ili uwe dereva bajaj... Sorry mwandiko wangu una maneno makali ila yatakufaa ukiyafuata
 
1.Sawa haujaoa, una demu? Milioni ni kipato kizuri tu kibongo, sana tu. Una demu ili tujue pankuanzia kukushauri, sababu neno haupendi kushobokea watu linatuacha katika brackets.
2. Kazini kinachokuongoza ni majukumu yako, tabu iko wapi? Ukifanya kazi zako, muda wa kazi ukiisha unaondoka, kazi kama haijafanyika fresh unarekebisha, kukosea its normal kabisa.
3.Bodaboda ndio itabidi ushobokee sana abiria tena tofauti tofauti, utaulizwa we k*m* mpaka mbezi bei gani?😆. Madereva wengi wamepinda watakuzingua pia.
Utatakiwa kushobokea traffic na kuomba misamaha mfululizo "nisamehe afande,nimeteleza"atakujibu "ongea kiume we mseng* unalialia kama demu...tunafanyaje?
Mwishowe udhani anataka makalio yako wakati anataka pesa ya kiwi kwa mujibu wa Magu🙌🏾
 
Back
Top Bottom