Nimekuwa mtu wa hasira hata kwa watu wangu wa karibu

Nimekuwa mtu wa hasira hata kwa watu wangu wa karibu

Kuna watu mna raha sana alafu mnasema eti mnashida .

Yaani laki na thelathini imekutoa mchezoni kaka ? Nyege zinakusumbua kiasi hicho kweli ?

Embu tafuta kazi hata ya nguvu hiyo mia thelethini ni kugusa alafu nyege mfuate mkeo Asap acha kutudhalilisha wanaume wenzio

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sijajua ni Nini hasa inanifanya Mimi kuwa na hasira kupita kiasi mpaka kwa watu wangu wa karibu,

Kwani nimekuwa nikiwajibu majibu ya mkato mpaka wanakuwa wanashangaa

Wengine huishia kunyamaza na wengine huniambia kuwa nimewajibu vibaya,

Hii Hali imeanza mwezi huu wa kwanza, natamani Sana nirudi Kama mwanzoni ili nisiwapoteze hawa marafiki zangu kwani wamekuwa wakiniambia kuwa nimebadilika Sana, na ni kweli nimebadilika,

Naweza ulizwa tu vizuri najikuta nisharudisha jibu chapu Tena bila hata kufikiria, utafikiri nilikuwa nasubiri niulizwe tu niteme jibu,

Kuna vitu ambavyo nahisi labda ni sababu kuu ya mimi kuwa hivi.

1. Madeni
Hapa nilipo nadaiwa kodi ya nyumbani 40, ofisini 40, hospital 50, na uhakika wa kulipa umekuwa ni mdogo, kwani mpaka chakula nakopa.

2. Kuishi mbali na mke wangu kwa miezi karibia 3
Toka mke wangu ajifungue Sasa umeisha mwezi ili bidi nimpeleke kwao kwasababu nyumbani kwao ni mkoa wa karibu na tunapoishi, kuliko mkoani kwetu.

3. Toka ajifungue sijaona hata sura ya mtoto
Ukweli ni kwamba simu yake imezingua kwenye mambo ya internet hivo ameshindwa hata kunitumia picha ya mtoto na amekosa hata ya kuazima, Ni muoga.

4.Nimekosa nauli ya kwenda kuwasalimia
Yaani kule kwao nimeendaga tu maramoja, na mahari bado sijapeleka na huyo mtoto ni wa pili, hivo nilipanga nikienda kuwasalimia nijipange hata na laki na nusu ili hata ya kuwapelekea zawadi ukweni.

Sijafanya mapenzi zaidi ya miezi 3

Jua kuwa Kali na joto kuongezeka.

Kuchelewa kulala bila sababu maalumu, yaani wastani nimekuwa nalala kuanzia saa 7 usiku naamka saa2 asubuhi

Je, Hizi yaweza Kuwa sababu mm kuwa na hasira?

Na nitumie mbinu gani ili nirudi Kama mwanzoni kwani siku hizi nagombana mpaka mitandaoni.

Nawasilisha by fundi simu
HAKUNA KITU KINGINE NI NJAA TU.
 
Tatiz
Sijajua ni Nini hasa inanifanya Mimi kuwa na hasira kupita kiasi mpaka kwa watu wangu wa karibu,

Kwani nimekuwa nikiwajibu majibu ya mkato mpaka wanakuwa wanashangaa

Wengine huishia kunyamaza na wengine huniambia kuwa nimewajibu vibaya,

Hii Hali imeanza mwezi huu wa kwanza, natamani Sana nirudi Kama mwanzoni ili nisiwapoteze hawa marafiki zangu kwani wamekuwa wakiniambia kuwa nimebadilika Sana, na ni kweli nimebadilika,

Naweza ulizwa tu vizuri najikuta nisharudisha jibu chapu Tena bila hata kufikiria, utafikiri nilikuwa nasubiri niulizwe tu niteme jibu,

Kuna vitu ambavyo nahisi labda ni sababu kuu ya mimi kuwa hivi.

1. Madeni
Hapa nilipo nadaiwa kodi ya nyumbani 40, ofisini 40, hospital 50, na uhakika wa kulipa umekuwa ni mdogo, kwani mpaka chakula nakopa.

2. Kuishi mbali na mke wangu kwa miezi karibia 3
Toka mke wangu ajifungue Sasa umeisha mwezi ili bidi nimpeleke kwao kwasababu nyumbani kwao ni mkoa wa karibu na tunapoishi, kuliko mkoani kwetu.

3. Toka ajifungue sijaona hata sura ya mtoto
Ukweli ni kwamba simu yake imezingua kwenye mambo ya internet hivo ameshindwa hata kunitumia picha ya mtoto na amekosa hata ya kuazima, Ni muoga.

4.Nimekosa nauli ya kwenda kuwasalimia
Yaani kule kwao nimeendaga tu maramoja, na mahari bado sijapeleka na huyo mtoto ni wa pili, hivo nilipanga nikienda kuwasalimia nijipange hata na laki na nusu ili hata ya kuwapelekea zawadi ukweni.

Sijafanya mapenzi zaidi ya miezi 3

Jua kuwa Kali na joto kuongezeka.

Kuchelewa kulala bila sababu maalumu, yaani wastani nimekuwa nalala kuanzia saa 7 usiku naamka saa2 asubuhi

Je, Hizi yaweza Kuwa sababu mm kuwa na hasira?

Na nitumie mbinu gani ili nirudi Kama mwanzoni kwani siku hizi nagombana mpaka mitandaoni.

Nawasilisha by fundi simu
Tatizo kubwa ni Uchumi, hakuna kingine. Ukimaliza madeni na kubaki na hela japo kidogo ya kujikimu utarudi katika hali yako ya kuwa sawa.
 
Tatizo siyo madeni ila tatizo ni mawazo tu,meng be normal uschukulie jambo serious..labda kama madeni kila mtu anadaiwa,maisha magufu c peke yako.
 
Sijajua ni Nini hasa inanifanya Mimi kuwa na hasira kupita kiasi mpaka kwa watu wangu wa karibu,

Kwani nimekuwa nikiwajibu majibu ya mkato mpaka wanakuwa wanashangaa

Wengine huishia kunyamaza na wengine huniambia kuwa nimewajibu vibaya,

Hii Hali imeanza mwezi huu wa kwanza, natamani Sana nirudi Kama mwanzoni ili nisiwapoteze hawa marafiki zangu kwani wamekuwa wakiniambia kuwa nimebadilika Sana, na ni kweli nimebadilika,

Naweza ulizwa tu vizuri najikuta nisharudisha jibu chapu Tena bila hata kufikiria, utafikiri nilikuwa nasubiri niulizwe tu niteme jibu,

Kuna vitu ambavyo nahisi labda ni sababu kuu ya mimi kuwa hivi.

1. Madeni
Hapa nilipo nadaiwa kodi ya nyumbani 40, ofisini 40, hospital 50, na uhakika wa kulipa umekuwa ni mdogo, kwani mpaka chakula nakopa.

2. Kuishi mbali na mke wangu kwa miezi karibia 3
Toka mke wangu ajifungue Sasa umeisha mwezi ili bidi nimpeleke kwao kwasababu nyumbani kwao ni mkoa wa karibu na tunapoishi, kuliko mkoani kwetu.

3. Toka ajifungue sijaona hata sura ya mtoto
Ukweli ni kwamba simu yake imezingua kwenye mambo ya internet hivo ameshindwa hata kunitumia picha ya mtoto na amekosa hata ya kuazima, Ni muoga.

4.Nimekosa nauli ya kwenda kuwasalimia
Yaani kule kwao nimeendaga tu maramoja, na mahari bado sijapeleka na huyo mtoto ni wa pili, hivo nilipanga nikienda kuwasalimia nijipange hata na laki na nusu ili hata ya kuwapelekea zawadi ukweni.

Sijafanya mapenzi zaidi ya miezi 3

Jua kuwa Kali na joto kuongezeka.

Kuchelewa kulala bila sababu maalumu, yaani wastani nimekuwa nalala kuanzia saa 7 usiku naamka saa2 asubuhi

Je, Hizi yaweza Kuwa sababu mm kuwa na hasira?

Na nitumie mbinu gani ili nirudi Kama mwanzoni kwani siku hizi nagombana mpaka mitandaoni.

Nawasilisha by fundi simu
MATATIZO BY HARMONIZER
 
Umesema kodi ya nyumba 40.
Gani nyumba hiyo, hyo sio nyumba Bali ni stoo au chumba ambacho unalalaga huku unaona Mali zako zote kwa wakati mmoja.
Hizo hasira ni kwa sababu unalala na mtungi wa gesi pembeni
Mkuu,
Wewe na yule member KAKA YAKE SHETANI NI DUGU MOYA..😊😊
 
Bado upo Katika poverty zone na matatizo yanayokusumbua ni Minor issue

Cha kufanya Anza matibabu ya meditation kuamka saa Tisa usiku na kuomba kwa Imani yako ili upate utulivu wa mwili , roho na nafsi.


NI KWELI life is too complex Ila kukosa mambo madogo Kama hayo unabidi kujua something wrong

Chakula√
Kodi√
Madeni √
Mahari √

Hivyo endelea kufanya kazi uku ukishukuru kwa kila jambo na kuhakikisha Unaaachilia mambo au mawazo yanayokukosesha Amani Detachment of negativity thoughts.


Your thoughts become things
Jiwazie mema bealive in God and stay greatful u shall overcome and "from ashes will arise again"
Well
 
Back
Top Bottom