haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.
Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.
Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?
Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.
May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.
Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?
Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.
May God protect her and all beautiful young lady from that misery.