Nimekuwa na hofu na simanzi juu ya hatma ya kimahusiano ya binti yangu

Nimekuwa na hofu na simanzi juu ya hatma ya kimahusiano ya binti yangu

Kikubwa ni kumuombea dua njema kila kukicha kwa imani yako pia ukiwa kama mzazi kumuongoza na kumlea katika misingi iliyo sahihi bila kusahau kumuasa na kumueleza namna dunia ilipofikia.

Baada ya hapo kazi inabakia kwake sasa sababu mzazi umeshacheza kwenye nafasi yako.
Amin. Mungu amsimamie kwa kweli
 
Me mwenyewe huwa nakiwazia hivyo hivyo kibinti changu kirembo kizuri kwa mwonekano ndo kwanza kinamaliza Std 7.
Eewe! Mungu tusaidie na utusamehe ufuska tuliowafanyia mabinti wa wenzetu ujanani hatukujua tulitendalo.

kwa Jina la Yesu, Amen🙏🙏
Malipo ni hapahapa..
 
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Ulivyokua una treat Binti za watu na wako ataoata the same treatments. Kama ulikua unakula ndogo, umekwisha
 
Hiyo iko kwenye utashi wake yeye hata ufanyeje huna cha kufanya eti unamlaani umeambiwa atakuita ushuhudie atayofanya na wakwe zako? Nyie ndo mnaamuaga kulala na binti zenu kwa kudhani hakuna mwanaume sahihi kwake,

Wengine tuliachwa na baba zetu bado makinda lakini mpaka leo hatujawahi kufanya huo upuuzi na si kwamba mafedhuli hawapo wamejaa tele
 
Me mwenyewe huwa nakiwazia hivyo hivyo kibinti changu kirembo kizuri kwa mwonekano ndo kwanza kinamaliza Std 7.
Eewe! Mungu tusaidie na utusamehe ufuska tuliowafanyia mabinti wa wenzetu ujanani hatukujua tulitendalo.

kwa Jina la Yesu, Amen🙏🙏
Kuna vitu vingine sio vya kufikiria kabisa as long ni wa kike basi atachezea mic ataliwa bila ya kujali mbele au nyuma kitu pekee Cha kupambana nacho ni kumtengenezea Financial Freedom aweze kuishi maisha standard ya chumbani muachie yeye mwenyewe
 
Hiyo iko kwenye utashi wake yeye hata ufanyeje huna cha kufanya eti unamlaani umeambiwa atakuita ushuhudie atayofanya na wakwe zako? Nyie ndo mnaamuaga kulala na binti zenu kwa kudhani hakuna mwanaume sahihi kwake,

Wengine tuliachwa na baba zetu bado makinda lakini mpaka leo hatujawahi kufanya huo upuuzi na si kwamba mafedhuli hawapo wamejaa tele
Hiyu si ndo yule mke wa mtu?
 
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Malezi yamekua changamoto kubwa sana kwa kipindi hiki, kikubwa jitahidi kumpa mahitaji yake kwa wakati bila kusahau luxuries ndogo ndogo ambazo uwezo unaruhusu kama laptop, simu n.k.. ustahimilivu wa njaa na tamaa ni mdogo sana kwa mtoto wa kike ukilinganisha na mtoto wa kiume.
 
Kulea ni kazi haswa pale unapojua huwezi amua hatma ya wanao...

Unachopaswa ni kumlea kwenye njia ipasayo...
Kuna quote moja huwa naipenda sana katika Movie ya Blacklist, Fbi Dorector Harold Cooper akimwambia Raymond Reddington kuhsu mtoto wa Elizabath Keen "no matter how much we would love to protect our kids, sometime they just grow to be what they want to be"
 
Back
Top Bottom