Nimekuwa na hofu na simanzi juu ya hatma ya kimahusiano ya binti yangu

Nimekuwa na hofu na simanzi juu ya hatma ya kimahusiano ya binti yangu

Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Mpende mama yake sana, mno kwa vitendo na maneno aone, wewe ndio unaweka msingi wa upendo unafanana vipi. Aone wanaume wengine takataka akiona jinsi baba yake anavyopendana na mama yake. Atake mwanaume mwenye vigezo vyako au zaidi.
Tunawapenda sana baba zetu, hatupendi kuangusha matarajio yao juu yetu
 
Ni wapi huko ulikoona mkuu, hebu tuone kama usemayo ni kweli..
 
Tena kwa kizazi cha saivi watoto wa 2000 kuja juu kizazi cha iphone macho 3 nitakataka cha msingi nikuomba Mungu tu na mwanao awe mtu wakuridhika bc
 
Kuna quote moja huwa naipenda sana katika Movie ya Blacklist, Fbi Dorector Harold Cooper akimwambia Raymond Reddington kuhsu mtoto wa Elizabath Keen "no matter how much we would love to protect our kids, sometime they just grow to be what they want to be"

Yeah, lakini hofu ya jamaa hapa ni juu ya mabazazi ambao ushawishi wao ni zaidi ya elimu ya makuzi...

Binti ana malezi mazuri lakini anaweza kutana na wabakaji...
 
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Mungu yupo, anawalinda hata kama kuna changamoto, mlee vizuri ili apende mambo ya Mungu, huo ndio usalama wake
 
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
18 is too late tena umechelewa sana,akivunja ungo tu anza mfundisha maana wasichana cku hizi 13-15 wanavunja teach her life ya mahusiano utamsaidia sana.
Kingine angalia mazingira unayoishi km umepanga kuna maeneo sisalama kwa mtoto wa kike or malezi kwa ujimla.
 
We acha tu wengine sisi makaka tuna wadogo zetu na wajomba zetu mpaka unahisi aibu kwa hivi vitoto
 
Kama ukiweza kumfanya mwanao asiwe na tamaa mbaya basi mtihani umeufaulu ila kama hapo ukishindwa acha kupoteza muda kuwaz hayo
 
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.

Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite zilikua za watanzania maana wanazungumza kiswahili, hivyo.

Kitu kilichonitisha ni kua, video zote hizo, ni mapenzi kinyume na maumbile. Hili limenifikirisha sana nikiwaza, je mwanangu wa kike atapata mume wa aina gani? Hali itakuaje siku za mbeleni?

Natamani siku akifika 18 nimwambie kua akijafanya hicho namuachia laana, ili awe mkali endapo atakutana na fedhuli, nawaza sana na namuonea sana huruma.

May God protect her and all beautiful young lady from that misery.
Sijui nikopy hii
Ni mimi huyu my current situation
 
Yeah, lakini hofu ya jamaa hapa ni juu ya mabazazi ambao ushawishi wao ni zaidi ya elimu ya makuzi...

Binti ana malezi mazuri lakini anaweza kutana na wabakaji...
It does not matter, kuna vitu huna controll over them so no need to stress yourself much
 
Back
Top Bottom