Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo


Mimi sioni kama ni ustaarabu ushenzi wetu tuliokubaliana wenyewe wawili eti kwasababu natafuta a way out basi nikamuhusishe mama wa watu ambae hausiki na huu ushenzi wetu.
 
Mkuu HesabuKali ulichokizungumza ni sahihi kabisa , huyu mtoa mada amejawa na tamaa kupita kiasi haiwezekani mtu amekuhudumia kwa miaka mitatu eti leo ndo uje kuomba ushauri tena kirahisi tu wakati ameshakula vitu vya mwanaume na kapewa nyumba, gari, kazi nk....Cha msingi azingatie Jasho la mtu haliliwi bure! ALWAYS THERE IS A PRICE TO PAY![emoji23][emoji23]

Sent from my SM-N950U1 using JamiiForums mobile app
 
Gari na nyumba kachukulie mkopo bank,hela kaweke bank, Usilipe ili vipigwe mnada jamaa akishuhudia, atakasirika na kukuambia hufai, basi haponaachana unaenda sasa kuanza maisha mapya na hela iliyoko bank.

NB:Umuombe Mungu msamaha kwa madhambi yako.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Huyu atakankulifukuliwa mtaro tuu🤣🤣🤣🤣
 
Kuwa mke wa pili tena wakati ndilo ninalotaka kulikimbia? Kuhusu kuolewa alishaniambia hicho ninachokwenda kukitafuta huko ambacho sikipati kwake ni nini?
Sahii kabisa[emoji4]
 
Yaani ningekuwa na uhakika kuwa nikivirudusha basi tutaachana kwa amani ningevirudisha tangu jana. Ila kuna kauli zake tata amekuwa akiziongea tangu nilipoanza kumwambia wazazi wanataka niolewe ndizo zinanipa wasiwasi.
Uwezo wa kuvirudisha na kusimama mwnyw unao?

Maana ake Apo itabid urudishe kuanzia Ito kazi, Kodi alizokulipia, posho zote alizokupa, Gari,nyumba na gharama zote alizotoa kwako.

Kwa HARAKA HARAKA Happ sio chini ya mil.100

Vipi uwezo upo?
Au Ongea na uyo barobaro wako uwezo anao?
Ili mchangie hizo cost uondokane na icho kifungo dada [emoji4]
 
Kuzaa na mume wa mtu tena? Dhambi ya kutembea nae tu inatosha.

Sasa ili uondokane na hiyo dhambi kwa ujumla, rudisha mali zake, hapa nina manispaa resign kazini, mpe gari yake, na nyumba.

Fungua ukurasa mpya usiokuwa na madoa. Hapo huyo mtu hatokuwa na sababu ya kukufuatilia au kuwa na hasira na wewe.

Kinyume cha hapo, pia siyo vibaya kujiandaa kuzikwa mapema. Usidhani hajui anachokifanya huyo mtu.
 

100% nakuapi huyo mpenz wako mpya hata kama unasema anakuzidi umri na ana kipato ukirudisha nyumba /gari na kazi aliyokutafutia uiache huyo mpenz mpya hamtadumu miez zaid ya miwili niamin utarud hapa kutoa ushahid
 
Yani mtu hajifunzi kutokana na story zote zilizopo kila sehem..

Mkuu chakata mpaka watakapojielewa..
Nikiweka nyuzi zangu wengi wanazisoma Kama story TU.

Wanasahau Kuna vingi vya kujifunza mle ndani.

Usikute mtoa mada nae akili zake Kama za mchepuko wangu, akili waruwaru mpk jamaa anasita kumfanya bi.mdg

Na jamaa hataki awe MKE wa pili, anachokifanya Ni kumfanya sexmachine yake[emoji4]
 
Naandiks kwa herufi kubwa DADA SIKU ZA MWANaDAMU KUISHI NI CHACHE TUBU MAANA UNAKARIBIA KUFA
Ujue mtu akiwa anakaribia kufa anawqshwa washwa kama wewe sahiz [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo siyataki mambo kama hayo.
Unautoto Sana wee dada,
huenda penzi jipya limekupofusha mpk huoni kabisa


Yaani nyumba anayolipia Kodi yeye na kila kitu kagharamia yeye useme eti hutaki aje anavyojiska.[emoji44]

Hivi are u out of your mind my sister?[emoji848]
 
Sahii kabisa,
Sio wote Ni wanyonge kwa wake zao mkuu[emoji4]
 
Kabla ya yote unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi

Huyo mtu unaempenda mueleze ukweli kwamba mali ni za nani na anamiliki nini
ilikwamba asijekuwa kakupendea Mali

Kama akikuacha endelea na huyo mzee ujue huyo boyfrind wako ni mwenye tamaa

Ikiwa yupo na wewe begakwabega mueleze ukweli huyo mzee kubali kuanza moja na kitu chako chenye uhuru kabisa

Chamsingi hapo uombe sana mungu kipindi unapo taka kuachana na utumwa huo wa dhambi ili kam baatimbaya ukawa Marehemu uwe na makao mbinguni.
 
Ah wapi atatafutwa tuu. She is caught between a rock and hard place. Hapo nikukubali kuwa mtumwa tuu wa huyo mume wa mtu au kama vipi tumsaidie kupata mganga huyo mume mtu awe zezeta
Hapana amechoka kuwa mtumwa na anahitaji kuwa huru na mtu atakayelala na kuamka naye. So Ms Saaly sell the house Tena hakikisha kuanzia dalali mpaka mnunuzi wawe ni wageni maeneo hayo wasije vujisha kwa Mzee baba ukalambwa Shaba. The day umepata malipo ndipo acha kazi Ile ya masaa 24.
On the same day or the day after, get away leaving everything else behind including your dear friends, I mean everything; car, contacts, some personal belongings. Tanzania ni kubwa hii na Africa ni Moja. If you will pocket 20m it's enough to start afresh somewhere else in Tz or EAC.
Wapenzi kuuana ni real, take care.
Ukishauza niambie nikufiche!!
 
100% nakuapi huyo mpenz wako mpya hata kama unasema anakuzidi umri na ana kipato ukirudisha nyumba /gari na kazi aliyokutafutia uiache huyo mpenz mpya hamtadumu miez zaid ya miwili niamin utarud hapa kutoa ushahid
Sahii kabisa,
Hizo Ni mbwembwe za penzi jipya kwasababu anajua mwanamke wa class ya juu asionekane marioo

Ila uwezo wa kuhudumia Kama mwanzo ndo asahau kabisa[emoji4]
 
Kumbe jamaa unajipigia pasi hapa hapa...shauri yako utakula mbususu ya saaly alafu mwenyewe aje kukuzibua chemba🤣🤣🤣🤣.

Yeye atulizane na huyo mwanaume amzalie aapate life alilotaka. Maisha mazuri wao wenyewe sii wanasema its better to cry in a range rover than on a bicycle...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…