Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Yaani Jiwe Alisema Bwana Bure HayupoUjengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Thamani Ya Uwekezaji Ni Millions Tele
Yaani Aende Akalale Na Huyo Jamaa Nyumba Na Gari La Jasho La Watu
Ajue Akimuacha Lazima Kazi, Gari, Nyumba Hatakuwa Navyo
Akiweza Aje Atujibu