Yaani Jiwe Alisema Bwana Bure HayupoUjengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
HahahaahhaKamsemee kwa mke wake
HahahaahahahahahahUshamtumia ndo unamuacha?
NotedHeaven Sent njoo utoe ushauri, mie nina conflict of interest[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpe ushauri mwenzio atakufa kizembe 😃Hahahaahha
Lete Maneno Tuone Kama Ingekuwa Mleta Mada Ndiyo Dume Ungekubali
Gari Ina Thamani Ya Millions Ngapi?
Nyumba Thamani Yake
Umetafutiwa Kazi
Unawekewa Gari Mafuta
MAGAZIJUTO,
JK Alisema!! Oops Mlisema Sichomoi Kwani Nilichomeka Wapi?
Yaani Jiwe Alisema Bwana Bure Hayupo
Thamani Ya Uwekezaji Ni Millions Tele
Yaani Aende Akalale Na Huyo Jamaa Nyumba Na Gari La Jasho La Watu
Ajue Akimuacha Lazima Kazi, Gari, Nyumba Hatakuwa Navyo
Akiweza Aje Atujibu
Amekununulia Push To Start
Nyumba Choo Ndani
Kazi Unakunja Cash
Haa Ukweli Rashid Mfaume Kawawa Ndiyo Pekee Alikuwa Na Maamuzi Magumu
Noted
Unapokea Mlahaba
Ladies and gentlemen this is why women get killedHabari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even
Amepokea Vingi Mpaka Alipogota Akaona Roho Inaacha MwiliMpe ushauri mwenzio atakufa kizembe 😃
Wacha afe kizembe yeye sii aliona raha ya kununuliwa gari n kujengewa nyumba.Mpe ushauri mwenzio atakufa kizembe 😃
Indeed,huyu asipokaa sawa anapigwa bisuLadies and gentlemen this is why women get killed
Bwana wee yaani wakati anapewa mkoko na nyumba hajatuita tumshauri sasa ameshakula hela za mume wa mtu ndio anajidai nina kamjamaa nadate nako ndio mapenzi ninayotaka🤣🤣🤣🤣🤣Afu mambo haya ya mapenz yamekaa kinoko kweli yaan,,watu wanapoanza kupeana mahaba ni full raha zao yakianza kuwashinda ndo uanza kushirikisha,aisee
Hatofika mbali,yaan anapigwa kitu kizitoBwana wee yaani wakati anapewa mkoko na nyumba hajatuita tumshauri sasa ameshakula hela za mume wa mtu ndio anajidai nina kamjamaa nadate nako ndio mapenzi ninayotaka🤣🤣🤣🤣🤣
Msomee Idi makengo,ua ana ushauri mzuri yule kaka atakusaidia.
Lakini pia uliwaza nini kukubali awekeze kwako namna io alafu umuache kirahisi?..icho kifungo ni kazi kutoka,mali zake uchukue alafu uje umuache atakuua kweli.