Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Wakati anakujengea hukuona anakubana,,,akakununulia gari hukuona anakubana,,,akakutafutia kazi hukuona anakubana,,,wewe dawa yako n kupewa ukilema mmoja mzuri mzuri ili upate cha kuhadithia ndugu zako

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Vya watu ule halafu utembee kirahisi rahisi amekugeuza sex machine.

Umalaya tabu zake ndio kama hizi.
 
Ushauri huu ni mzuri kama ana uhakika na anachotaka kufanya na SIO wenge.I have seen many GOOD girls wakijaribu hii strategy na ikawork lakini wakaishia kuumizwa wao tena sana
Usicheze na Ukimwi wewe!!!
 
Wewe mbona huna kinyongo yeye kuwa na mke. Au chitaki ataka.
 
Hongera kwa kutambua japo wengi wanakutukana kama hawajawahi kosea lakini bado wewe ni binadamu kukosea kupo kwenye ukristo kuna mstari unasema dhambi zenu zijapo kua nyekundu sana nitazifanya kua nyeupe kama theruji.

Anza kusali kwakumanisha yaani mrudie Mungu kiukweli then mwambie huyo mtu umeamua kuacha dhambi ya uzinzi hivyo mrudishie vyake ili uwe huru,na Mungu atakutetea ktk hili.
 
Kwenye kirudisha ndio kimbembe
 
Hii bado ni hatari zaidi kwake.
Inaonesha jamaa amempenda mno,maana sio kwa kuwekeza huko.
Akunali kufunga nae ndoa ya bomani.
Mbona waislam na baadhi ya makabila au jamii wanaolewa mke zaidi ya mmoja kwa mume mmoja?
 
Hii bado ni hatari zaidi kwake.
Inaonesha jamaa amempenda mno,maana sio kwa kuwekeza huko.
Akunali kufunga nae ndoa ya bomani.
Mbona waislam na baadhi ya makabila au jamii wanaolewa mke zaidi ya mmoja kwa mume mmoja?
Sasa yeye mwenyewe anakwambia anataka wake wapeke yake awe na uhuru naye....tatizo wanawake wwngi wanajidanganya kuwa watapata mgegedo wa kwao peke yao.
Yeye cha msingi jamaa anamuhudumia atulize hiyo punani yake jamaa asasambue basi.
 

Nimekuelewa, na hisia zangu sio fake kwake.
 
Je yuko tayari kurudisha hizo mali?
 
Thread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa

Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Baadhi ya dada zetu wana njaa sana hadi wanatia aibu.
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Rudisha kila kitu alichokupa. Kisha kuwa free kuachana nae.
 
Thread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa

Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Unadhani aliponunua gari, kujengea nyumba kulipa kodi kwamba he did it just for granted? Kwa maelezo yako nakuonea huruma sana hasa kwa hayo maamuzi unayotaka kuchukua kwani kaburi limekaribia kukumeza, unamkumbuka yule mwanamke mwenzio aliyeuawa huko dsm kisa kala vya watu afu mzigo anawapa wengine? UKITAKA KULA LAZIMA ULIWE nakuomba sana hata kama sikujui usilete ujanjajanja kwenye uwekezaji ulofanywa na mtu tena akiwa na akili timamu.

Yaani unaumia alipokwambia umzalie na akati una gari, una kazi, nyumba n.k. kwa taarifa yako huyo jamaa siyo lofa wala siyo buzi nakuomba umvumilie kama alivyojikamua na kukufanyia hayo uliyoyasema mwenyewe vinginevyo hizo mali utaziacha na huyo kiben10 wako hatakuoa ataishia kuhudhuria mazishi.
Kama hujui ukiona mtu una date naye anakujengea nyumba n.k huo ni msumari unajipigilia kwani hatokubali hiyo nyumba aingie mwanaume mwingine.
 
Kwanza kabisa hakuna mwanadam asiyefanya makosa usijione kama wewe ni mkosaji saana wote kwa namna moja au nyingine tunakosea ktk maisha.

Kama unataka kuachana na huyo mwanaume kwanza acha kujilaumu jisamehe halafu fanya maamuzi na uwe tayari kwa matokeo ya maamuzi utakayofanya.
1. Anza kupanga mipango yako na kuitekeleza kwa kutumia kipato chako.
2. Rudisha nyumba, gari na kila kitu kinachoonekana ulichopewa na huyo mwanaume hata kama kipo kwa jina lako
3. Hama kwenye nyumba unayolipiwa na huyo mwanaume anza kulipa kodi mwenyewe.

Utekelezaji wa haya upangie muda mfano jipe miezi labda 4 chukua kodi na kama una akiba anzisha biashara yako kwa siri ili ikuboost mara utakappachana na huyo mwanaume.

HAKUTAKUWA NA KUACHANA ENDAPO UTABAKI NA MALI ULIZOPEWA NA HUYO MWANAUME.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…