The Chosen 1
Member
- Jul 10, 2018
- 26
- 21
Tatizo huwa ni nini mpaka mnaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu?.?.. Lengo lako kuu ilikuwa ni nini mpaka unaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu angali wajua ana mke?. .
Shida ni TAMAA ambayo inaenda kukuponza maana naona huyu jamaa anaweza kukufanya kitu kibaya ama huyo Kijana uliyenae asiye na hatia.
Ushauri ni huu. Anza kurudisha vitu vyake kwanza vyote kama nyumba na gari. Ikiwezekana acha na kazi aliyokutafutia kisha mwambie unataka kuanza upya maisha yako maana unahisi humtendei haki mke wake, . Mwambie dhamiri inakusuta na kama ungekuwa wewe mkewe usingependa mume wako awe na mahusiano nje na kimada.
Kwa kurudisha vitu utakuwa umejiweka huru kwa 75% na kwa kumwambia utakuwa umefika 98%, hiyo 2% iliyobaki ni yeye kuamua sasa. Maana Vitu ndio vinakufunga.
Na ukimwacha na akajua unamtu mwingine ambaye anatumia vitu vyake lazima itamuuma sana na itaonekana kwake kuwa wewe ulimfanya Sponsor wa kupata vitu ili ukavitumie na umpendaye.
Shida ni TAMAA ambayo inaenda kukuponza maana naona huyu jamaa anaweza kukufanya kitu kibaya ama huyo Kijana uliyenae asiye na hatia.
Ushauri ni huu. Anza kurudisha vitu vyake kwanza vyote kama nyumba na gari. Ikiwezekana acha na kazi aliyokutafutia kisha mwambie unataka kuanza upya maisha yako maana unahisi humtendei haki mke wake, . Mwambie dhamiri inakusuta na kama ungekuwa wewe mkewe usingependa mume wako awe na mahusiano nje na kimada.
Kwa kurudisha vitu utakuwa umejiweka huru kwa 75% na kwa kumwambia utakuwa umefika 98%, hiyo 2% iliyobaki ni yeye kuamua sasa. Maana Vitu ndio vinakufunga.
Na ukimwacha na akajua unamtu mwingine ambaye anatumia vitu vyake lazima itamuuma sana na itaonekana kwake kuwa wewe ulimfanya Sponsor wa kupata vitu ili ukavitumie na umpendaye.