Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Tatizo huwa ni nini mpaka mnaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu?.?.. Lengo lako kuu ilikuwa ni nini mpaka unaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu angali wajua ana mke?. .

Shida ni TAMAA ambayo inaenda kukuponza maana naona huyu jamaa anaweza kukufanya kitu kibaya ama huyo Kijana uliyenae asiye na hatia.

Ushauri ni huu. Anza kurudisha vitu vyake kwanza vyote kama nyumba na gari. Ikiwezekana acha na kazi aliyokutafutia kisha mwambie unataka kuanza upya maisha yako maana unahisi humtendei haki mke wake, . Mwambie dhamiri inakusuta na kama ungekuwa wewe mkewe usingependa mume wako awe na mahusiano nje na kimada.

Kwa kurudisha vitu utakuwa umejiweka huru kwa 75% na kwa kumwambia utakuwa umefika 98%, hiyo 2% iliyobaki ni yeye kuamua sasa. Maana Vitu ndio vinakufunga.

Na ukimwacha na akajua unamtu mwingine ambaye anatumia vitu vyake lazima itamuuma sana na itaonekana kwake kuwa wewe ulimfanya Sponsor wa kupata vitu ili ukavitumie na umpendaye.
 
Mshauri na mwenzio huyu mwingine.
Screenshot_20220219-230557.jpg
 
Ninaona njia rahisi ya kuwaachanisha ni mauti.
Muda wote mtu anawejeza ulikuwa unafurahia.
Subiri cha moto hamna namna.
 
Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..


Halafu unasema anaku suffocate?

Tukusaidie umuache vipi?

Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?


Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?

Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Umemaliza
 
Hapo tunasema you are between a rock and a hard place. Kuna mawili.

Either uamue kuendelea kuishi kama mtumwa wa mapenzi na mume wa mtu and waste your life.

Au uhame mji ubadili namba za simu, kurasa za mitandao ya kijamii na uanze maisha mapya na huyo mpenzi wako.

Using'ang'anie mali aliyokupa. Freedom is more expensive.
Hapa hachomoki...kuchomoka pekee ni kifo
 
Chagua moja kati ya haya:
1) Mwambie umepima ukakutwa +ve, hapo nae atataka akapime na akikutwa - ve anakuacha kiroho safi.
2) Mlengeshe kwa shosti yako ambae unaona anam feel.
Hata mdogo wako wee mwachie tuu aruke nae maana tayari ni mbwai acha iwe mbwai.. Ili upate sababu ya kuachana nae
3) Rudisha nyumba, gari, fenitures, hama unapoishi, acha hiyo kazi aliyokutafutia na uvunje mahusiano
Na ukaanze maisha mapya (uhamie) kwa huyo mumeo mtarajiwa.
4) mweleze kuwa unahitaji kuolewa ila atabakia kuwa mchepuko wa kudumu
Nimeipenda
 
Knock yourself out, gal...

But remember...

...if he was able to give you a decent job, he can also be able take it away!

...if he was able to get you a nice house, he can also be able to send you back to where you exactly belong!! Unadanganyika na kuona jina lako kwenye makaratasi ndo ushajiona Mama Mwenye Nyumba, sio?

...if he was able to buy you a car, he can also be able to make you daladala girl!

Good luck!!
 
M
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.

Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.

Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?

Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.

Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.

Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.

Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
Mwambie amuache mke wake Halafu akuoe wewe,
Hakika Atakataa na icho ndo unachokitaka akishakataaa unamrudishia nyumba na gari unaanza maisha mapya na huyo unayemtaka.

Akikubali kumuacha mke wake pia uta mind vilevile maana mwanaume mpumbavu ndo anaweza kuacha mke wake maana yake na wewe badae anaweza kukiacha, unamrudishia nyumba na gari halafu unaachananae.
 
Nitaweza vizuri tu, nimejijenga vya kutosha na akiba bank si haba.
Sista, huyo mshua ndio "aliyekujenga".

Hiyo "akiba bank" ni kwa sababu ya huyo Mshua. Unapokea pesa ya kodi ya nyumba uliyojengewa, mekupangishia nyumba ambayo yeye ndo analipa kodi, akakutafutia kazi ambayo mshahara sio haba, akakununulia gari(ambalo pia mazaga yote kutoka mafuta mpaka service anaweza akawa nahudumia yeye), kakununulia viwanja(ambavyo pia hata kodi ya viwanja hivyo atakuwa analipia yeye), bado anakuhudumia na mishe nyingine. Pesa yako/mshahara wako unakuwa hauna kazi hapo, kila kitu unapewa. Na bado alisaidia familia yako na wanamfahamu(unafikiri ilikuwa bahati mbaya yeye kufanya hivyo?! Niamini sista hiyo ilikuwa makusudi kabisa.)
Mshua kakutoa katika level moja ya maisha kakupeleka level nyingine, ambayo kwa juhudi zako binafsi labda ingechukua zaidi ya miaka mitatu. Ndani ya miaka mitatu status yako imebadilika kabisa, wewe wa sasa ni "land lady","Land owner","mmiliki wa chimbo cha usafiri(bila shaka na driving school alikupeleka mshua, kwa hivyo akakuongezea na skill hapo, "driving")",
Mshua alikuondolea shida zako kwa asilimia 90 hadi 99(shida nyingi zinasababishwa na kutokuwa na pesa ama koneksheni), akakuondolea stress za ajabu ajabu. Uhuru wako mpya(ambao hapo kabla uliutumia kutatua shida zako) ndo huo huo unakwambia unashida mpya, ambayo ni huyo mshua.

Huyo mshua ndo kakujenga. Akiamua kukubomoa huwezi pingana nae kivyovyote vile

Unawaza kurudisha mali tu. Je, muda wake ? hisia zake? Utazirudishaje? (Usije sema ooh muda wako, hisia zako, kwa sababu kwa unchokisema huo muda wako na hisia zako ni Feki tu, hazikuwa za ukweli hata punje.)
Utasema amekutumia, la hasha, wewe ndo umemtumia. Mshua kajitoa mazima kwako, wewe unajitoa kwa kujifikiria sana.

"All is Fair in Love and War."
 
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.

Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.

Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?

Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.

Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.

Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.

Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
Umeingia mdomoni mwa mamba hautoki Leo Wala kesho, HUYO unayempenda mwambie akupe gari,nyumba,mhamie mkaanze maisha,mme wa mtu huyo mtumie sms kwenda kwa MKE wake andika JINA LAKE na maneno baba fulani kuwa nipo tayari kukuzalia mtoto...utakuja unishukuru
 
Sasa kama moyoni hampendi na wala hisia naye hana afanyeje ?

Iwapo akiwa naye raha ya nafsi haipati afanyeje?
Mkuu,unafikri kinachomsumbua ni kwamba hampendi na moyoni hana nafasi?Hapana.Kuna kitu kinaitwa wenge.Wenge kwenye mapenzi humfanya mtu afikiri kwamba hampendi mtu ila unakuta ni wenge tu linamsumbua hasa ukizingatia wako wawili.Kwa nionavyo mimi na kwa uzoefu wangu mimi hili wengi hupata watu wengi sana hasa pale wanapohisi hawamtegemei sana yule mtu emotionally au financially na kuwa na ile kauli ya I can do without them.Kwa wanaume huwe tunajikuta wanadharau wapenzi wao na kuangaika ni videmu na kwa wanawake huwa wanakuwa na dharau hata kama hawana wapenzi wengine.

Sasa uhusiano ukivunjika wenge linatoka then reality inakuja na ule usemi wa kiswahili wa PEMA UKIPEMA SI PEMA TENA.
 
Rudisha vyote ulivyohongwa na huyo mwanaume,vinginevyo tutakusikia ukitangazwa kwenye vyombo vya habari roho imeachana na mwili.
Hta akirudisha bado jamaa atafanya maamuzi magumu.Kwa kiwango cha uwekezaji ina maana jamaa anampenda na ana mpango nae so whatever she does will not end easily.
 
Nimeipenda

Chagua moja kati ya haya:
1) Mwambie umepima ukakutwa +ve, hapo nae atataka akapime na akikutwa - ve anakuacha kiroho safi.
2) Mlengeshe kwa shosti yako ambae unaona anam feel.
Hata mdogo wako wee mwachie tuu aruke nae maana tayari ni mbwai acha iwe mbwai.. Ili upate sababu ya kuachana nae
3) Rudisha nyumba, gari, fenitures, hama unapoishi, acha hiyo kazi aliyokutafutia na uvunje mahusiano
Na ukaanze maisha mapya (uhamie) kwa huyo mumeo mtarajiwa.
4) mweleze kuwa unahitaji kuolewa ila atabakia kuwa mchepuko wa kudumu
Ushauri huu ni mzuri kama ana uhakika na anachotaka kufanya na SIO wenge.I have seen many GOOD girls wakijaribu hii strategy na ikawork lakini wakaishia kuumizwa wao tena sana
 
Rudisha vyote ulivyohongwa na huyo mwanaume,vinginevyo tutakusikia ukitangazwa kwenye vyombo vya habari roho imeachana na mwili.
Huyu ata arudishe vyote bado ataliwa tigo na atapotezwa. Usalama wake yeye aendelee tuu na huyo mume wa mtu ama kama vipi atafute cyanide
 
Back
Top Bottom